Huduma ndani ya ndege ni tofauti na chombo chenyewe jombaUzuri wa ndege ni mpk ufanye booking ndio utajua aina ya vessel inayokubeba watengeneza ndege ni walewale hayo makambuni ya usafirishaji ni majina tu. Fanya booking utajua chombo itakayokubeba maana kuna Boeing, Airbus mpk Bombardier
Toa sababu ya uovyo wa Kenya Airways kwenye hudumaRwandair hutojuta mkuu. Kenya airways ni hovyo sana haswa katika suala la kupoteza mizigo ya abiria.
Jenga tabia ya kusoma hadi mwisho wa sentensi na upanue uelewa.Toa sababu ya uovyo wa Kenya Airways kwenye huduma
Bila shaka unamaanisha KIQUYU AIRWAYS (KQ). Mijizi eehWalinipotezea begi langu na hawakunipa sababu ya msingi na kunisababishia usumbufu mkubwa sana. Hilo tukio kwangu mimi ilikuwa ni the last straw.@ Joshua_ok
Jamaa kaulizia huduma za vyakula na vinywaji ndegeni wewe unaleta habari ya kuibiwa malonya uliyonunua GuanzuuuJenga tabia ya kusoma hadi mwisho wa sentensi na upanue uelewa.
JPM KAMATA WEZI
Kwahiyo ulinzi siyo huduma ni bidhaa siku hizi?Jamaa kaulizia huduma za vyakula na vinywaji ndegeni wewe unaleta habari ya kuibiwa malonya uliyonunua Guanzuuu
Acha utoto jamaa kaulizia huduma na sio msosi pekee, kumbuka jamaa kasema yeye ni mfanya biashara na anaenda kufata mzigo so unatataka mzigo upotee? Jamaa anataka huduma nzuri, security yake na mizigo yake pia ni huduma anoyohitaji kuhakikishiwa kabla ya safariJamaa kaulizia huduma za vyakula na vinywaji ndegeni wewe unaleta habari ya kuibiwa malonya uliyonunua Guanzuuu
Haya mkubwa nimekusoma hata mm siku nimepata senti nataka nikale bata Dubai nipande RwandairAcha utoto jamaa kaulizia huduma na sio msosi pekee, kumbuka jamaa kasema yeye ni mfanya biashara na anaenda kufata mzigo so unatataka mzigo upotee? Jamaa anataka huduma nzuri, security yake na mizigo yake pia ni huduma anoyohitaji kuhakikishiwa kabla ya safari