James Martin
JF-Expert Member
- Apr 2, 2016
- 1,206
- 1,509
Baada ya kusikiliza hotuba ya Magufuli akiwa Geita inasikitisha kuona anazidi kupotosha watu.
Anasema kwamba huu si wakati wa kufanya majaribio kwa kukichagua chama kingine, mimi napingana nae. Ki ukweli, huu ndio muda muafaka wa kukipa dhamana chama kingine. CCM ilipewa dhamana zaidi ya miaka 50 lakini wamezidi kututia umasikini. Hizo ndege, fly overs, barabara n.k. tungetakiwa tuwe navyo siku nyingi sana lakini ni CCM ndiyo iliyotuchelewesha!
Amesema pia serikali yake haiingilii dini, hili pia sio kweli. Kuna viongozi wengi wa dini wanabughudhiwa kuhusu uraia wao pale wanapoikosoa serikali. Je Magufuli anasemaje kuhusu hili?
Huu ni wakati muafaka wa kukipa nafasi chama kingine. CCM ilishapewa nafasi kwa zaidi ya nusu karne ikaichezea.
Anasema kwamba huu si wakati wa kufanya majaribio kwa kukichagua chama kingine, mimi napingana nae. Ki ukweli, huu ndio muda muafaka wa kukipa dhamana chama kingine. CCM ilipewa dhamana zaidi ya miaka 50 lakini wamezidi kututia umasikini. Hizo ndege, fly overs, barabara n.k. tungetakiwa tuwe navyo siku nyingi sana lakini ni CCM ndiyo iliyotuchelewesha!
Amesema pia serikali yake haiingilii dini, hili pia sio kweli. Kuna viongozi wengi wa dini wanabughudhiwa kuhusu uraia wao pale wanapoikosoa serikali. Je Magufuli anasemaje kuhusu hili?
Huu ni wakati muafaka wa kukipa nafasi chama kingine. CCM ilishapewa nafasi kwa zaidi ya nusu karne ikaichezea.