Clark boots
JF-Expert Member
- Jun 5, 2017
- 6,393
- 5,518
Habari za wakati huu wapendwa..
Direct to the point..
Me ni kijana rijali kabisa nisiyezidi miaka 25..
So naweza kusema kuwa nimejaaliwa na Mwenyezimungu kuwa na nywele nyingi hasa kichwani na kidevuni pia..
Sina asili ya nywele nyekundu/mpunga, Nina nywele nyeusi sana hasa kichwani (ID inajiekeza)
Ila tatizo kubwa ni hvi sasa nashangaa kuona kiasi cha ndevu zangu zinabadilika na kuwa brown colour..
So nauliza hapa hii kitu huwa inasababishwa na nn wakuu..?
% UZI TAYARI %
Direct to the point..
Me ni kijana rijali kabisa nisiyezidi miaka 25..
So naweza kusema kuwa nimejaaliwa na Mwenyezimungu kuwa na nywele nyingi hasa kichwani na kidevuni pia..
Sina asili ya nywele nyekundu/mpunga, Nina nywele nyeusi sana hasa kichwani (ID inajiekeza)
Ila tatizo kubwa ni hvi sasa nashangaa kuona kiasi cha ndevu zangu zinabadilika na kuwa brown colour..
So nauliza hapa hii kitu huwa inasababishwa na nn wakuu..?
% UZI TAYARI %