Mapambano Yetu
JF-Expert Member
- Aug 14, 2012
- 1,121
- 2,064
Ndugu wana JF,
Sijaelewa vema kuhusiana na mfumo wa serikali tatu uliopendekezwa kwenye rasim ya katiba mpya. Naomba kusaidiwa kwa haya yafuatayo:
1. Kama rasimu ikipitishwa, Nasi Watanganyika tutakuwa na Bendera yetu na wimbo wetu wa TANGANYIKA?
2. Kila tarehe 9/december Sherehe za Uhuru wa Tanganyika zitaongozwa na Kiongoz Mkuu (rais) wa TANGANYIKA?
3. Mfumo wa ulinzi na usalama, Polisi, JKT, Usalama wa Taifa utagawanya vipi ili pande zote zinufaike kulingana na wingi wa watu wake?
4. Viongozi wote watatu (Tanganyika, Zanzibar na wa Muungano) kama wakitokea vyama tofauti vyenye itikadi tofauti Muungano utaweza kudumu?
Naomba mwenye jibu au maoni kwa haya machache anisaidie
Sijaelewa vema kuhusiana na mfumo wa serikali tatu uliopendekezwa kwenye rasim ya katiba mpya. Naomba kusaidiwa kwa haya yafuatayo:
1. Kama rasimu ikipitishwa, Nasi Watanganyika tutakuwa na Bendera yetu na wimbo wetu wa TANGANYIKA?
2. Kila tarehe 9/december Sherehe za Uhuru wa Tanganyika zitaongozwa na Kiongoz Mkuu (rais) wa TANGANYIKA?
3. Mfumo wa ulinzi na usalama, Polisi, JKT, Usalama wa Taifa utagawanya vipi ili pande zote zinufaike kulingana na wingi wa watu wake?
4. Viongozi wote watatu (Tanganyika, Zanzibar na wa Muungano) kama wakitokea vyama tofauti vyenye itikadi tofauti Muungano utaweza kudumu?
Naomba mwenye jibu au maoni kwa haya machache anisaidie