mtoto wa mchungaji
JF-Expert Member
- Oct 24, 2020
- 279
- 480
Sitaki kuchangia sana.
Ukijiuliza maswali ni kama kuna kitu nyuma ya pazia, maana kama sisi wananchi wa kawaida tulishanga kwani hatukuwai msikia mama akisema, ila tulimsikia tu akizuia watu kuanza kutengeneza makundi ya kutafuta Urais 2025, iweje jamaa watesti kutingisha kiberiti mapema?
Hata hivyo nadhani CCM ni chama kimojawapo Afrika namba moja au namba mbili kikongwe na chenye stamina ya kukabiliana na majanga ya ndani na nje.
Ukijiuliza maswali ni kama kuna kitu nyuma ya pazia, maana kama sisi wananchi wa kawaida tulishanga kwani hatukuwai msikia mama akisema, ila tulimsikia tu akizuia watu kuanza kutengeneza makundi ya kutafuta Urais 2025, iweje jamaa watesti kutingisha kiberiti mapema?
Hata hivyo nadhani CCM ni chama kimojawapo Afrika namba moja au namba mbili kikongwe na chenye stamina ya kukabiliana na majanga ya ndani na nje.