Below 40
JF-Expert Member
- Aug 21, 2019
- 785
- 1,525
Sasa huu ubaguzi wa nini mtu anaweza kuwa na tatizo kubwa zaidi ya hili lakini akaambulia jokes tu.Ni kwa sababu kwenye hiyo ndoa anateseka mwanamke kwahiyo inaonekana kawaida ila angekuwa anateseka mwanaume ungeshasikia kauli kama "wanawake ni mashetani" mara "wanawake wa siku hizi hawafai kwa kuoa ni wa kupiga na kusepa tu" na mambo kama hayo