Ndalichako, Msonde, Wizara ya elimu na Necta tegueni kitendawili cha elimu ya Makonda

Kenya wamemkomalia jamaa huko mombasa si mchezo kuhusu vyeti kutokua genuine, huku Tanzania mama hiyo anaogopa ataulizwa kama vyeti ni vyake au sio vyake...
 
Tunaiomba serikali itegue kitendawili cha elimu ya makonda ili kuiokoa serikali na double standards

Serikali kupitia waziri wa ELIMU walisimamia sana kidete swala la vyeti feki kwa watumishi wa umma sasa tunaiomba nguvu iliyotumia kwenye uhakiki wa vyeti ihamishiwe kwa makonda pia ili kuonyesha dhana halisi ya sheria ni msumeno

Usomi kwenye serikali hii brother!!! forget it. Unapoteuliwa kama Prof. jua kwamba utafanya kazi kama mtu asiyesoma hata kwa ngazi ya chekechea tu, because there is no such rooms to things like educated person and critical thinking. The fear of loosing their positions/jobs and food devours our educated folks. There is no reasons of calling them with academic titles. They dont stand for what they are...believe,..educated for,..truth,. principles etc. It is useless for someone claiming to be doing what we call "Certifcate Audit" in public service while BASHITE stands untouchable.
 
Badaa ya kuibuka kwa inshu ya Bashite na watu kumtaka atoe tamko juu ya hili suala, mama yetu mchapakazi na tuliyekuwa tumemzoea kila Mara kwa kuibuka na mambo mbalimbali yahusuyo elimu, alipotea ghafla na mpaka Leo sijui kama yuko nchini au la
 
Tunaiomba serikali itegue kitendawili cha elimu ya makonda ili kuiokoa serikali na double standards

Serikali kupitia waziri wa ELIMU walisimamia sana kidete swala la vyeti feki kwa watumishi wa umma sasa tunaiomba nguvu iliyotumia kwenye uhakiki wa vyeti ihamishiwe kwa makonda pia ili kuonyesha dhana halisi ya sheria ni denmsumeno
Huenda ameanza kulifanyia kazi swala hilo hasa baada ya kuwa shusha walimu zaidi ya 7000 kutoka kufundisha sekondari kwenda shule za msingi.Yaani wafundishe a,e,i,o,u.
 
watakwambia hilo swala liko mahakamani,limepelekwa na meya jacob,halafu majaji wataambiwa waahirishe kesi kwa miaka mitatu hadi oktoba 2020
 
Necta wamesena hawana majina ya albet bashite wala poul makonda ktk data base yao
 
Badaa ya kuibuka kwa inshu ya Bashite na watu kumtaka atoe tamko juu ya hili suala, mama yetu mchapakazi na tuliyekuwa tumemzoea kila Mara kwa kuibuka na mambo mbalimbali yahusuyo elimu, alipotea ghafla na mpaka Leo sijui kama yuko nchini au la
kaibuka leo na kutumbua walimu 7460 watoke sekondari waende msingi.Baada ya utumbua ji mkubwa huo huenda sasa ataanza swala la bashite alilo liweka kiporo,hasa baada ya kuona lina uzito wa aina yake.Gwajima anasema wapo misukule ambapo wenyewe walisha chukuliwa lakini hata shule hakusoma yeye bali pepo maalumu.Lakini akikurudisha toka uliko pelekwa unakuwa huna elimuyoyote elimu ile lina enda nayo hilo kama zimwi hivi.Labda alisomewa na zimwi sasa liliondoka na elimu yake Bashite kaachwa bila elimu
 
""TANGAZO TANGAZO""

Shule ya sekondari ya Itamba, inawatangazia nafasi za masomo ya kidato cha Tano 2017/2018. Masomo ya pre form five yataanza tarehe 10/04/2017.
Kwa michepuo ya sanaa HGL, HKL, HGK, HGE, NA EGM, MICHEPUO YA SAYANSI NI PCB, PCM, CBG, NA PGM.
Shule ni ya Bweni kwa Wasichana na Wavulana, shule ipo Tarafa ya Matamba karibu na Hifadhi ya Taifa ya Kitulo kilomita 22 kusini mwa mji mdogo Chimala- Mbeya.
Pia zipk nafasi za kuhamia kwa kidato cha Kwanza na Tatu, Shule ina mazingira mazuri kwa kupata Elimu na Malezi bora na inafanya vizuri katika mitihani ya Taifa.
Form za kujiunga zinapatika kwenye tovuti ya shule.www. itambasecondaryschool.ac.tz.
Kwa mawasiliano zaidi wasiliana nasi kwa.
0754 239280- Mkuu wa shule.
0784 553427- M/mkuu wa shule
0715 334396- Mtaalma.
Karibuni sana.
 
Amani kwenu

Labda nianze kwa hii dua mungu atamlaani kiongozi huyu na kila atakalofanya hatofanikiwa na utawala wake utafikwa na majanga mpaka nyumba na ofisi ataikimbia pamoja na kuleta waganga yaani kumbe miaka miwili unatumbua watu wengine wanakufa wengine wanafungwa wengine wamekimbia mbali kwa swala la vyeti fake kumbe wewe mwenyewe unae na unamsifia yaani unawaambia wakuu wengine waige mfano kutoka kwake wa kumiliki vyeti fake mungu amekuumbua mpaka leo kwa kinywa chako umekiri hadharani kua mwanao anacheti fake na kwa kuogopwa umepigiwa makofi na mauza yataendelea kukuzonga kwa kua unalalia kitanda si chako kiti sio chako hata hizo suti hazikupendezi sababu umevamia sehemu si yako kwa nguvu ya dola

Tuendeleze dua apate kubadilika na akigoma tuzidishe ndani ya miaka mitano aondoke kwa ridhaa yake mwenyewe
 
Bandarini lazima wakaguliwe vyeti vyao ili kila mmoja apate ujira kwa kile alicho stahili.
Lakini kwa mwana wa mfalme hakuna haja ya kukagua vyeti vyake, hata kama hajui kusoma A
 
Bora angenyamaza, ingewapunguzia machungu kidogo wale waliopoteza kazi na kukosa stahiki zao kwa hitilafu za vyeti.
Hii itaamsha hasira na hisia za wahanga, sio jambo jema kabisa. Hapo watu wakihoji wataambiwa wachochezi.
Ametokota mpaka aibu
 
Hata yeye inawezekana ana cheti fake, huyu mtu ana tabia mbaya saaana ya unafki na chuki. Anataka maisha ya watanzia yawe magumu sana kiasi kwamba akipita sehemu basi watu wamuabudu. Ni moja kati ya viumbe vya ajabu vilivyoumbwa na Mungu.
 
Back
Top Bottom