Kumekuwa na wimbi kubwa la vijana wa kiume kujiingiza kwenye mahusiano ya mapenzi na ' mijimama' iliyowazidi umri, sababu hasa ni zipi?
Tamaa ya pesa! vjana wengi wanaopenda mijimama hawana kazi ya kueleweka hapa mjini!
Kumekuwa na wimbi kubwa la vijana wa kiume kujiingiza kwenye mahusiano ya mapenzi na ' mijimama' iliyowazidi umri, sababu hasa ni zipi?