Tundu Lissu hajawahi kuyasema hayo, thibitisha.Naibu Waziri wa Bolivia kapigwa hadi kufa na wafanyakazi wa mgodini waliogoma. Ikumbukwe Tundu Lissu alishawahi kutushauri tuige sera za Bolivia kuhusu uwekezaji wa madini binafsi nilimshaangaa sana.
Kabisa...Hapo heshima itakuja na suluhu itapatikana.
Watu Kama nyie ndiyo mnatakiwa kupata dozi Kama hii ili heshimaa iwepoNaibu Waziri wa Bolivia kapigwa hadi kufa na wafanyakazi wa mgodini waliogoma. Ikumbukwe Tundu Lissu alishawahi kutushauri tuige sera za Bolivia kuhusu uwekezaji wa madini binafsi nilimshaangaa sana.
Umesema kweliKawaida ya upinzani wa Tanzania hupendekeza sera zilizoshindwa ilimradi wapinge...nikiwaambia watu kuwa Lissu ni mbishi na mbumbumbu...wananuna!
Sera zipi zilizoshindwa ?tupe Maelezo kidogo ya hizo Sera vinginevyo uliyoandika ni upunguani tuu !Kawaida ya upinzani wa Tanzania hupendekeza sera zilizoshindwa ilimradi wapinge...nikiwaambia watu kuwa Lissu ni mbishi na mbumbumbu...wananuna!
Tatizo mleta uzi hakusoma vizuri alichosema Lisu, au anataka tu kupotosha kwa sababu zake anazozijua mwenyewe..hapa Tz hujasikia wananchi wanauawa kutokana na migogoro kati yao na wawekezaji wakubwa?
..au hujasikia machafuko ya Nigeria chanzo chake ni mikataba mibovu isiyonufaisha wananchi?
..inawezekana kabisa Bolivia ingekumbwa na matatizo makubwa zaidi ya hicho ulichokiona kama wangeendelea kuheshimu mikataba ya kinyonyaji iliyokuwepo hapo awali.
Sera zipi....maana nyie magamba kwA zaidi ya miaka 50 sera zenu zote hazijafanikiwaUmesema kweli
Wenzetu huko hawataki masihara ktk kudai vyaooMods hii ipelekwe kwenye jukwaa la kimataifa .
Tundu alikuja na waraka mrefu uliojaa prpaganda kuwa tuwaige Bolivia...sasa kama sera za Bolivia zinagombanisha raia na serikali dhahiri ni,Tundu ni kibaraka wa mabwanyeyeSera zipi zilizoshindwa ?tupe Maelezo kidogo ya hizo Sera vinginevyo uliyoandika ni upunguani tuu !
bainisha hizo Sera/propaganda vinginevyo sioni neno jingine zuri kwa Maelezo yako zaidi ya uzezeta !Tundu alikuja na waraka mrefu uliojaa prpaganda kuwa tuwaige Bolivia...sasa kama sera za Bolivia zinagombanisha raia na serikali dhahiri ni,Tundu ni kibaraka wa mabwanyeye
Hii siredi bwana view 140 reply 2, kwi kwi kwi kwi!
Kwahiyo wanataka nasisi tufikie hii hali? hapana kabisaKwani kupigwa hao wafanyakazi nayo ni sera ya madini Bolivia?