Fede Masolwa
JF-Expert Member
- Oct 26, 2013
- 528
- 123
nimeona sasa ITV, imenisikitisha sana mama moja songea amejifunguli njian amepakizwa kwenye bodaboda, watu waliohojiwa wamelalamika mama mjamzito yeyote songea lazima akajifungulie hospt ya mkoa na kulaumu kutokuwepo kwa mazahanat ambayo zingesaidia mama hawa, vip mh unataka urais wakat ubunge tu umekushinda.