Nchimbi: Viongozi wa CHADEMA watahojiwa juu ya kutishiwa kwao kuuwawa.

USHAURI WA BURE KWA CHADEMA
nianze kwa kusema ni kazi ngumu sana kupambana na dola. ukipambana na dola hatimae utaitwa muasi au mhaini. ukifansa siasa kama mwanasiasa bila kutumia mabavu na kujifanya mbabe hutopata sana misukosuko ya dola. chdm inaelekea inatoka kwenye siasa na kuelekea kwenye vita na serikali. baada ya mgomo wa madaktari, unaochochewa na chadema, kufeli, sasa hivi linaibuliwa jengine la kutishia kuuwa viongozi wa kisiasa. slaa hakuuawa kipindi cha kampeni 2010 auawe leo! mnyika bado mtoto. ni utoto unamsumbua. akikua ataacha kuropoka ovyo. kama kuna mwaka ambao umekua mbaya kwa chadema ni huu. bungeni safari hii chdm wameboronga!

serikali lazima itawabana mnyika, slaa, mbowe na lema ili walete ushahidi. kama hawaiaini serikali kwa nini walisema. serikali ina jukumu la kulinda raia wake. jeshi la polisi liwahoji na kama hawaoneshi ushirikiano wakamatwe wawekwe ndani kwa kosa la kuitukana na serikali na kulidharau jeshi la polisi.
 
Mavi ya kuku kamuuluze gadafi...... Mobutu, mubarak ......
USHAURI WA BURE KWA CHADEMA
nianze kwa kusema ni kazi ngumu sana kupambana na dola. ukipambana na dola hatimae utaitwa muasi au mhaini. ukifansa siasa kama mwanasiasa bila kutumia mabavu na kujifanya mbabe hutopata sana misukosuko ya dola. chdm inaelekea inatoka kwenye siasa na kuelekea kwenye vita na serikali. baada ya mgomo wa madaktari, unaochochewa na chadema, kufeli, sasa hivi linaibuliwa jengine la kutishia kuuwa viongozi wa kisiasa. slaa hakuuawa kipindi cha kampeni 2010 auawe leo! mnyika bado mtoto. ni utoto unamsumbua. akikua ataacha kuropoka ovyo. kama kuna mwaka ambao umekua mbaya kwa chadema ni huu. bungeni safari hii chdm wameboronga!

serikali lazima itawabana mnyika, slaa, mbowe na lema ili walete ushahidi. kama hawaiaini serikali kwa nini walisema. serikali ina jukumu la kulinda raia wake. jeshi la polisi liwahoji na kama hawaoneshi ushirikiano wakamatwe wawekwe ndani kwa kosa la kuitukana na serikali na kulidharau jeshi la polisi.
 
lakini hivi serikali isingesema kituwatu wangesema hawajali raia wake, imetoa tamko la kufanya uchunguzi watu bado wanasema hakuna lolote, tumekuwa washabiki sana hata ktka mambo ya kiusalama tuache ushabiki wana JF.
Gangstar, siyo kwamba tunakosa shukrani kwa serikali, lakini mfano mmoja utakaokusaidia kujua kile tunachokichukia ni huu. Hivi mtoto anapochapwa na kisha mtu mwingine anambembeleza akimwambia "tema nimpige" huku ukweli ni kwamba anamdanganya tu, inasaidia nini? Mtu huyo hata kama angenyamaza kimya wakati mtoto huyo analia ni sawa tu. Maana kutokujali kwake na kujali kwake ni kitu kumoja na hakuna tofauti yoyote. Ukweli ni kwamba hamsaidii yule mtoto zaidi ya kumrubuni tu. Ndivyo ilivyo serikali ya magamba, Inatuambia, "Tema nimpige" kitu ambacho ni danganya toto ya wazi dhidi ya umma wa watanzania. Hali hii haina tofauti yoyote na kukaa kimya. Kwanza hiki wanachokifanya ndicho kibaya zaidi cha kutudanganya na kucheza na akili zetu kama watoto. Shame on Magamba's government.
 
Back
Top Bottom