Akiongea leo na tbc1 waziri wa mambo ya ndani dr.Nchimbi amesema;
Shutuma walizo zitoa viongozi wa chadema kuhusu kutishiwa kuuwawa ni nzito sana. Amesema japo chadema hawajawapa tarifa serikalini, lakini yeye kwa niaba ya serikali hilo swala litafanyiwa kazi kwani ni wajibu wa serikali kulinda wananchi wake. Na tayari ameshaagiza wote walio toa shutuma hizo wahojiwe.
Usikose kuangalia kipindi cha mahojiano kati ya dr.Nchimbi na Tbc1 ifikapo saa tano kamili usiku huu.
Ni hayo tu.
Nchimbi ni mratibu mkuu wa mauaji na utekaji nyara unaofanywa na CCM, wajihadhari naye.