Kimweri unamuongeleaje Makamba mana ni wakwenu kule waja leo waondoka leo,I believe unajua mengi kuhusu uyu jamaa.Mchambue kidogo mosie.one may be led to believe that, all the heavy weights in the nominees were put there in order to clear Lowassa out.
He certainly CAN NOT complain.
Wamekatwa mawaziri wakuu wasiojiuzulu wa-2, kakatwa CJ mstaafu, Kakatwa Makamu wa raisi, Wamekatwa mawaziri waliuhudumia kwa miaka 40 na ushehe...,
Huyu JK kweli kamzidi mwenzie Usanii.., naona wa monduli kaingizwa mjini na wa msoga.
Pia naona Utekelezaji wa ilani ya CCM umembeba magufuli,sidhani kama kuna aliyemfikia kwa awamu iliyopita. One thing JK has managed to live up to is ushering in a new era, angalau hakuna nominee hata mmoja above 65.
Na matokeo ya Urais yatakuwa hivhivi, safi sana CCM maana huo fisadi angepita basi mngekuwa mmeoga topeMungu akikataa chama dhalim kama ccm,watanzania mnalaumu nn?
Miaka buku, hawezi kutoka kule maana kule wamejaa wachumia matumbo, wezi na mafisadi a.k.a walafiNape alikuwa anautangazia Umma kuwa Lowassa atakatwa .... yametimia ... Kweli Rais ndani ya CCM hawezi kutoka Kaskazini!! Grrrrrrrrrrrrrrrrrr
Ilionekana kabisa kuwa lazima tu watamtoa, swali ni je hao waliopitishwa watapata sapoti ya wabunge wa CCM na wenyeviti wa CCM?
Vipi kama Lowasa akikata Rufaa hiyo kesho