Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 46,987
- 144,319
Akijibu hoja za wabunge jioni hii,waziri wa mambo ya ndani, mh. Emmanuel Nchimbi amesema hakuna tume itakayoundwa kuchunguza tukio la bomu lililotokea Soweto mkoani Arusha katika mkutano wa CHADEMA. Badala yake amewataka wale wanaodai kuwa na ushahidi waupeleke na amewataka waache kusema kila siku tu kuwa wana ushahidi bila kuuwasilisha.
MY TAKE:
Hivi kweli huyu ndio mshauri wa Raisi?
Hakika, wateule wa JK ni janga kwa ustawi wa nchii hii.
MY TAKE:
Hivi kweli huyu ndio mshauri wa Raisi?
Hakika, wateule wa JK ni janga kwa ustawi wa nchii hii.