Watu8 Platinum Member Feb 19, 2010 70,953 93,924 Dec 2, 2013 #62 Heheh!! eti Waziri wa mambo ya Ndani anatoa tamko kupitia account ya FB Kuna mtu naona hajielewi hapa!!!
Heheh!! eti Waziri wa mambo ya Ndani anatoa tamko kupitia account ya FB Kuna mtu naona hajielewi hapa!!!
Kimbunga Platinum Member Oct 4, 2007 14,941 9,947 Dec 2, 2013 #64 Sasa tunashuhudia siasa za kughushi!
TUJITEGEMEE JF-Expert Member Nov 6, 2010 23,914 23,077 Dec 2, 2013 #65 Wakimaliza hilo waamie kwenye hili>>>>https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/553161-nataka-tamko-la-ccm-juu-ya-hili%85.html
Wakimaliza hilo waamie kwenye hili>>>>https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/553161-nataka-tamko-la-ccm-juu-ya-hili%85.html
cacico JF-Expert Member Mar 27, 2012 8,362 7,797 Dec 2, 2013 #66 Nchi hii nadhani inaongoza kwa kuwa na mawaziri wapumbavu! Sijui huwa wanaangilia nini kuteua waziri, ni ajabu na kweli! Hebu nipite mie!
Nchi hii nadhani inaongoza kwa kuwa na mawaziri wapumbavu! Sijui huwa wanaangilia nini kuteua waziri, ni ajabu na kweli! Hebu nipite mie!
K Kagalala JF-Expert Member Oct 31, 2010 2,403 1,132 Dec 2, 2013 #67 Kweli Tanzania sasa hivi ni juu ya USA, UK, Japan na kwingine kwa mambo ya technology, Waziri anatoa tamko kupitia Facebook!!!
Kweli Tanzania sasa hivi ni juu ya USA, UK, Japan na kwingine kwa mambo ya technology, Waziri anatoa tamko kupitia Facebook!!!