Nchi zinazoongoza kwa unywaji wa pombe barani Afrika

Kwa mujibu wa mtandao wa African full facts nchi zinazo ongoza kwa unywaji wa pombe barani Africa ni..

1. South Africa
2. Gabon
3. Namibia
4. Nigeria
5. Uganda
6. Rwanda
7. Burundi
8. Sierra Leone
9. Botswana
10. Tanzania.
Na vilevi (bia) vinavyohusidiwa sana na walevi wa bara la Africa ni..
1. Tusker lager
2. Kasupreko drinks
3. Castle lager
5. Star beer
6. Windhoek lager
7. Chibuku.

Bongo kwa nyakati hizi nadhani hizi.." ngumu kumeza, Rahisi kulewa" ndo zitakua zinakimbiza. Kitoko, double Kiki, smart gin. etc.
Zambia ilitakiwa iwe No. 2 hapo! Ni wanywaji hatariii

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uwongo uliopitiliza!
Zambia is supposed to be number ONE!
Zambia wanapenda pombe ila hawawezi kuizidi SA yaani kiwango cha pombe zinazonyweka Gauteng province huwezi kufananisha na Zambia yote wahuni wanakunywa pombe hawa acheni masihara yenu Ramaphosa anaaumua kufungua ma bar kwa sababu wanakosa mapato na anatamka kabisa serikali inapata mapato makubwa kupitia Pombe...
 
Kesi kubwa SA kipindi cha lockdown ni Pombe na Sigala na sasa hivi wana mbinu yao wengi siku ya ijumaa wanatembea na beg ili wanunue waweke kwenye kibegi safari ya nyumbani akifika nyumbani anakunywa zile ndio wanaenda bar...na wana magari yao special kwa ajili ya ulevi tuu hizo Golf series 5,6,7, Polo,Benz na BM chama cha walevi raia kupitia magari wakipaki sehemu wanafungua milango gari iliyo na mziki mzuri mzito inafunguliwa linawekwa Jimbo lao " Faka mali ze ubone" weka hela uone hao wahuni wanaweza kunywa hapo mpaka asubuhi...kipindi cha week end
 
Tanzania ingekuwa juu ya hapo, shida ulofa. Maisha magumu sana awamu ya jiwe. Fedha imekata, hata ya kununua malimao ya nyungu haipo. Mabaa yanafungwa. Hakuna wateja.
 
United republic of Kilimanjaro (rombo, mwika, marangu, kirua, old moshi, uru, kibosho, sanya etc)
 
Waongo awa Zambia awafika kufanya tafiti Zambia vijana akuna mwenye anywi pombe tena zile Kali.
 
Kwa mujibu wa mtandao wa African full facts nchi zinazo ongoza kwa unywaji wa pombe barani Africa ni..

1. South Africa
2. Gabon
3. Namibia
4. Nigeria
5. Uganda
6. Rwanda
7. Burundi
8. Sierra Leone
9. Botswana
10. Tanzania.

Na vilevi (bia) vinavyohusidiwa sana na walevi wa bara la Africa ni:

1. Tusker lager
2. Kasupreko drinks
3. Castle lager
5. Star beer
6. Windhoek lager
7. Chibuku.

Bongo kwa nyakati hizi nadhani hizi.." ngumu kumeza, Rahisi kulewa" ndo zitakua zinakimbiza. Kitoko, double Kiki, smart gin. etc.
Malawi
 
Yan kumbe sisi hatunywi pombe basi,kama mitaani huku watu kibao wanakunywa hadi wanatambaa kama nyoka kwa sababu ya pombe tu, loo salalee na bado tupo wa kumi kumbe sisi tunaonja tu hatunywi...naona kama hii list ina walakini kuna nchi flani hazijatajwa.hahahh
Sipati picha hiyo nchi ilioshika namba moja wanakunywaje pombe,maana zinavyonyweka huku kwetu nilijua angalau tungekuwa no.2...
 
Back
Top Bottom