Ipi baba au mwana maana zipo mbili!Israeli mbona sijaiona hapo? au macho yangu?
Naizungmzia ya Taifa teule lililochaguliwa na Mungu.Ipi baba au mwana maana zipo mbili!
Yote ni mataifa teule!Naizungmzia ya Taifa teule lililochaguliwa na Mungu.
Sawa,ila moja ni taifa teule zaidi.Yote ni mataifa teule!
Monaco ni nchi??? Mbona kama najua tofautiHizi ni nchi tano zinazoongoza kwa sera kali za ushoga:
1. Azerbaijan
2. Turkey
3. Armenia
4. Russia
5. Monaco
Hizi ni nchi tano zinazoongoza kwa sera wezeshi za ushoga:
1. Malta
2. Belgium
3. Luxembourg
4. Finland
5. Denmark
View attachment 1123847
View attachment 1123848