WanaJF, ningependa kufahamu kama nchi zilizoendelea kama huadhimisha sikukuu kama zetu kila mwaka.
Pia pamewahi kutafutwa tathimini ya faida au hasara ya kufanya hizi sherehe kila mwaka?
Mimi naona sherehe kama hizi tufanye baada ya miaka mitanomitano ili pesa inayotumika tununue madawa na madawati ya shule.
Pia pamewahi kutafutwa tathimini ya faida au hasara ya kufanya hizi sherehe kila mwaka?
Mimi naona sherehe kama hizi tufanye baada ya miaka mitanomitano ili pesa inayotumika tununue madawa na madawati ya shule.