Mbona hata magazeti yote ya ccm yameongelea Ulimboka? Kumbe nayo yanatumika kuchochea migomo Tanzania eeh!! CCM kaeni kimya hamna hoja tena!!Siyo siri hata mitandao kama hii ya JF na FB inatumika.
LEO ,JF ukurasa woote wa siasa ni Ulimboka.
The message is clear-INCITE!