Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,426
- 18,228
Mwaka 1967 Misri walitangaza kupiga vita na Israel
Ingawa Israel waliona ni wakati mgumu,maana waliomba msaada wa kusaidiwa na marekani,ila marekani walikataa kujihusisha,Israel wakabaki wenyewe,Misri walisaidiwa na nchi za uarabuni ikiwemo Jordan,Syria na wengineo,kwenye redio zao wakaanza kutangaza ushindi kabla ya vita,nchi zote za kiarabu wakaona ni wakati wao kupoteza Israel kwenye ramani ya dunia,wananchi wote uarabuni wakajaa mitaani kuipongeza misri,cha kushangaza baada ya matokeo ya kivita nchi hizo hizo zilizokuwa zinampa support mtawala wa Misri wakasema ajiuzulu kwa kushindwa vita hivyo.
IKUMBUKWE HII VITA EGYPT NA HUKO UARABUNI WALITANGAZA USHINDI KABLA,MISRI WALIPOPIGWA WAARABU WALIOKUWA WANAWASAIDIA WAKSEMA AMIRI MKUU WA SERIKALI YA MISRI AJIUZULU.
Je ilikwaje?
Ingawa Israel waliona ni wakati mgumu,maana waliomba msaada wa kusaidiwa na marekani,ila marekani walikataa kujihusisha,Israel wakabaki wenyewe,Misri walisaidiwa na nchi za uarabuni ikiwemo Jordan,Syria na wengineo,kwenye redio zao wakaanza kutangaza ushindi kabla ya vita,nchi zote za kiarabu wakaona ni wakati wao kupoteza Israel kwenye ramani ya dunia,wananchi wote uarabuni wakajaa mitaani kuipongeza misri,cha kushangaza baada ya matokeo ya kivita nchi hizo hizo zilizokuwa zinampa support mtawala wa Misri wakasema ajiuzulu kwa kushindwa vita hivyo.
IKUMBUKWE HII VITA EGYPT NA HUKO UARABUNI WALITANGAZA USHINDI KABLA,MISRI WALIPOPIGWA WAARABU WALIOKUWA WANAWASAIDIA WAKSEMA AMIRI MKUU WA SERIKALI YA MISRI AJIUZULU.
Je ilikwaje?
Last edited by a moderator: