Nchi za kiarabu hata waungane wote hawawezi kuipiga Israel kivita

Status
Not open for further replies.

Viol

JF-Expert Member
Dec 15, 2009
25,426
18,228
Mwaka 1967 Misri walitangaza kupiga vita na Israel
Ingawa Israel waliona ni wakati mgumu,maana waliomba msaada wa kusaidiwa na marekani,ila marekani walikataa kujihusisha,Israel wakabaki wenyewe,Misri walisaidiwa na nchi za uarabuni ikiwemo Jordan,Syria na wengineo,kwenye redio zao wakaanza kutangaza ushindi kabla ya vita,nchi zote za kiarabu wakaona ni wakati wao kupoteza Israel kwenye ramani ya dunia,wananchi wote uarabuni wakajaa mitaani kuipongeza misri,cha kushangaza baada ya matokeo ya kivita nchi hizo hizo zilizokuwa zinampa support mtawala wa Misri wakasema ajiuzulu kwa kushindwa vita hivyo.

IKUMBUKWE HII VITA EGYPT NA HUKO UARABUNI WALITANGAZA USHINDI KABLA,MISRI WALIPOPIGWA WAARABU WALIOKUWA WANAWASAIDIA WAKSEMA AMIRI MKUU WA SERIKALI YA MISRI AJIUZULU.


Je ilikwaje?
 
Last edited by a moderator:
Mwaka 1967 Misri walitangaza kupiga vita na Israel
Ingawa Israel waliona ni wakati mgumu,maana waliomba msaada wa kusaidiwa na marekani,ila marekani walikataa kujihusisha,Israel wakabaki wenyewe,Misri walisaidiwa na nchi za uarabuni ikiwemo Jordan,Syria na wengineo,kwenye redio zao wakaanza kutangaza ushindi kabla ya vita.Je ilikwaje?

waislamu/waarabu na ukatili wao wote lakini kwa waisrael wanatulia! nilitegemea washenzi boko haramu, al qaeda na al shaabab wangeenda kuwapiga israel! lakini wapi!!!!!!! wanaishia kuteka wanawake wasio na silaha! FaizaFoxy, kahtaan
 
Last edited by a moderator:
waislamu/waarabu na ukatili wao wote lakini kwa waisrael wanatulia! nilitegemea washenzi boko haramu, al qaeda na al shaabab wangeenda kuwapiga israel! lakini wapi!!!!!!! wanaishia kuteka wanawake wasio na silaha! FaizaFoxy, kahtaan

Mkuu Israel walifanya mbinu ya kuattack gafla misri,kwa mbali soviet union walikuwa wanataka kuwasaidia Egypt,Israel wakawaambia msijiingize,hata vita ilipobamba walianza kuhisi soviet wanajihusisha ndipo Israel wakawaambia USA wawatupie macho soviet(warusi) wasiingilie,kuna kitu nimegundua kumbe kiboko ya Russia ni wamerekani tangia mwanzo
 
Last edited by a moderator:
waislamu/waarabu na ukatili wao wote lakini kwa waisrael wanatulia! nilitegemea washenzi boko haramu, al qaeda na al shaabab wangeenda kuwapiga israel! lakini wapi!!!!!!! wanaishia kuteka wanawake wasio na silaha! FaizaFoxy, kahtaan

Umesaahau kipigo cha juzi kutoka kwa Wapestina wasio na silaha mpaka Israel wakadai usainiwe mkataba wa amani na kitu ambacho walikuwa wanakikataa?
 
waislamu/waarabu na ukatili wao wote lakini kwa waisrael wanatulia! nilitegemea washenzi boko haramu, al qaeda na al shaabab wangeenda kuwapiga israel! lakini wapi!!!!!!! wanaishia kuteka wanawake wasio na silaha! FaizaFoxy, kahtaan

Makafiri always ni viumbe wa ajabu sana.

Nyie kuuwana mmeona ujanja sio?

Mnapenda kunywa damu km yule msela wa msalabani.

People are moving forward now!
You galatians are still living in the dark ages of apes.
 
Last edited by a moderator:
Mwaka 1967 Misri walitangaza kupiga vita na Israel
Ingawa Israel waliona ni wakati mgumu,maana waliomba msaada wa kusaidiwa na marekani,ila marekani walikataa kujihusisha,Israel wakabaki wenyewe,Misri walisaidiwa na nchi za uarabuni ikiwemo Jordan,Syria na wengineo,kwenye redio zao wakaanza kutangaza ushindi kabla ya vita.Je ilikwaje?

Mkuu, umeweka facts ambazo hazina ubishi. Sasa subiri majaa yaje na vain words.
 
Last edited by a moderator:
You galatians are still living in the dark ages of apes.

It is 2014. You guys are still using Donkeys. Ooops, the creation might be a spouse.
isra10255.jpeg
 
Umesaahau kipigo cha juzi kutoka kwa Wapestina wasio na silaha mpaka Israel wakadai usainiwe mkataba wa amani na kitu ambacho walikuwa wanakikataa?
Weka hesabu za haraka, hivi hao Walowezi wa Gaza ni wangapi walitangulia Jahannam?
 
It is 2014. You guys are still using Donkeys. Ooops, the creation might be a spouse.
isra10255.jpeg

Whats the big deal.
In my motherland TZ we Use Donkeys and buffaloes even Cow's everyday as a means of transport.
We are not Slaves like you who has an ugly face but still pretending you are related to a white man.

You are so ugly you have to hide your face even in your own room!
 
Kwanini watu hamtaki kukubali ukweli?kushindwa au kushindwa ndo cha msingi kujadili na siyo udini,hebu tujadili kuhusu hii vita bila kugusia udini
 
Mkuu Israel walifanya mbinu ya kuattack gafla misri,kwa mbali soviet union walikuwa wanataka kuwasaidia Egypt,Israel wakawaambia msijiingize,hata vita ilipobamba walianza kuhisi soviet wanajihusisha ndipo Israel wakawaambia USA wawatupie macho soviet(warusi) wasiingilie,kuna kitu nimegundua kumbe kiboko ya Russia ni wamerekani tangia mwanzo
Bado hujajibu swali zaidi ya kukiri kuwa, ni hakika jamaa wa Kiarabu wanawaogopa Israel mpaka kupatwa na ugonjwa wa moyo.
 
Bado hujajibu swali zaidi ya kukiri kuwa, ni hakika jamaa wa Kiarabu wanawaogopa Israel mpaka kupatwa na ugonjwa wa moyo.

Mkuu angalia hiyo documentary viongozi wa pande zote wamekiri sasa sijui hujaelewa nini
 
Kwanini watu hamtaki kukubali ukweli?kushindwa au kushindwa ndo cha msingi kujadili na siyo udini,hebu tujadili kuhusu hii vita bila kugusia udini

Unaandika utumbo gani hapa!
Unaanzisha Uzi wa kinafiki halafu Unawaambia watu wasilete Udini?

Umeshawahi Kuingia kanisani Ukatoka bila Kuguswa na POMBE?

Soma kitu gani unaandika! Sio kubwabwaja tu!

Unapotaja Israel tu tayari umeshataja UBAGUZI, UKAFIRI, UDINI na ULOWEZI HARAMU.

Hivi vitu viko sambamba na ISRAEL km vile Ujinga Na Ugalatia!
 
Unaandika utumbo gani hapa!
Unaanzisha Uzi wa kinafiki halafu Unawaambia watu wasilete Udini?

Umeshawahi Kuingia kanisani Ukatoka bila Kuguswa na POMBE?

Soma kitu gani unaandika! Sio kubwabwaja tu!

Unapotaja Israel tu tayari umeshataja UBAGUZI, UKAFIRI, UDINI na ULOWEZI HARAMU.

Hivi vitu viko sambamba na ISRAEL km vile Ujinga Na Ugalatia!

Sijui utumbo ndo naona umeandika
 
Umesaahau kipigo cha juzi kutoka kwa Wapestina wasio na silaha mpaka Israel wakadai usainiwe mkataba wa amani na kitu ambacho walikuwa wanakikataa?
acha hadithi ... hadithi kasome kwenye kitabu: Muslim wote duniani walivyo na chuki na dhidi ya jew wangeshawafuta wale jamaa.. Huo ndo ukweli.. hawewezi ndio maana jewz wanakula bata tu.it is written in Koran.. Nashangaa wewe hili hulioni?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom