dawayamafisadi
Member
- Jun 3, 2011
- 5
- 0
nchi yetu sote walio na vyama na wasio na vyama so katiba mpya iguse maslai ya wote mm ni mtu huru ambaye sina chama chochote na sitaki kuwa na chama bali naipenda tz kama ninavyoipenda roho yangu so wanasiasa ndio walio ifikisha nchi hapa tuwenaomakini wakubwa nawachukia wanasiasa