Nchi yetu inavyoendeshwa wenye akili timamu lazima tuumizwe na utawala uliojaa double standard

Phd Hewa

JF-Expert Member
Oct 3, 2016
572
466
Kama Leo Wabunge Wanatukana Bungeni Japo Sina Uhakika wa Matusi yenyewe Tujiulize kwa nini au ni Sababu Gani Iliyosababisha Mpaka Mbunge au Wabunge wa Upinzani Wanafikia Kutukana?

Pili Naomba Maana ya Matusi Aliyotukana Alima Mdee na Freeman Mbowe Mana Nimesoma Habari ya Kuwa Leo Wanahitajika Kwenye Kamati ya Maadili Bungeni Kujibu Tuhuma za Kumtukana Spika wa Bunge La JMT,

Kumbe Bungeni Kuna Kamati ya Maadili kwa Viongozi?

Au Ililala Leo Ndiyo Imeamshwa?

Ombi wakionywa Akina Mdee Aje na Yule Mtoto wa Mfalme Aliyesema Wabunge Wanalala tu Bungeni

na Akasema Wengine ni Wachekeshaji tu Pale Bungeni Tena Iwe Mubashara Wanachi Tuone

Moto Unaanza Moshi Baadeye Unawaka Tafadhali Tusifikie Huko Mungu Tunusuru.
 
Kama Leo Wabunge Wanatukana Bungeni Japo Sina Uhakika wa Matusi yenyewe Tujiulize kwa nini au ni Sababu Gani Iliyosababisha Mpaka Mbunge au Wabunge wa Upinzani Wanafikia Kutukana?

Pili Naomba Maana ya Matusi Aliyotukana Alima Mdee na Freeman Mbowe Mana Nimesoma Habari ya Kuwa Leo Wanahitajika Kwenye Kamati ya Maadili Bungeni Kujibu Tuhuma za Kumtukana Spika wa Bunge La JMT,

Kumbe Bungeni Kuna Kamati ya Maadili kwa Viongozi?

Au Ililala Leo Ndiyo Imeamshwa?

Ombi wakionywa Akina Mdee Aje na Yule Mtoto wa Mfalme Aliyesema Wabunge Wanalala tu Bungeni

na Akasema Wengine ni Wachekeshaji tu Pale Bungeni Tena Iwe Mubashara Wanachi Tuone

Moto Unaanza Moshi Baadeye Unawaka Tafadhali Tusifikie Huko Mungu Tunusuru.
Kuna majeshi yatauzima, ndiyo philosophy ya "Mumgu"
 
Sielewi hata spika kuwaagiza polisi Wamtafute mbunge popote alipo... nimeshangaa kwa kwel... hv hy si ndo alimpiga bakora mgombea mwenza mpaka akazimia... nani mwenye kosa kubwa hapa sasa wa kufuatwa na polisi..... yeye au halima... yaani ni nani FA.RA.... ndo double standard unazo sema mkuu....
 
Sielewi hata spika kuwaagiza polisi Wamtafute mbunge popote alipo... nimeshangaa kwa kwel... hv hy si ndo alimpiga bakora mgombea mwenza mpaka akazimia... nani mwenye kosa kubwa hapa sasa wa kufuatwa na polisi..... yeye au halima... yaani ni nani FA.RA.... ndo double standard unazo sema mkuu....
Mkuu we Acha tu
 
Hiyo kamati iangalie chanzo cha hayo matusi..ndugai ni spika mzuri sema huwa ana vijazba sana..wewe spika mzima unauliza kati ya Masha na wenje nani mwanamke halafu usiitwe fala..
Duh.!
 
Hiyo kamati iangalie chanzo cha hayo matusi..ndugai ni spika mzuri sema huwa ana vijazba sana..wewe spika mzima unauliza kati ya Masha na wenje nani mwanamke halafu usiitwe fala..
Au ngoja tuone kama chadema wanajua kingereza..... spika hovyo kabisa na anataka wabunge wamsikilize kama mwalimu mkuu anaongea na watoto wa chekechea.....
 
Mvuta bhangi hana sababu kwani angesema kaa chini wewe kwa ile sauti ya kwukwaruza kingepungua nini mpaka matusi!
 
Akili yako imevurugwa na wauza madawa ya kulevya ndio maana unatetea hadi ujinga
Mkuu Nimetetea Au Nimetaka Usawa
Ivi Huyo Spika Si Ndiyo Yule Alimpiga Mwezie Bakora Adi Akazimia? Mkuu
Tunamengi Yakusema Ila Tupo Kama Samaki Midomo Imejaa Maji.
Tangu Uzaliwe Ulishawai Kusikia Kiongozi wa Upande wa Kwanza Amekosea na Kuwajibishwa?
Sipendelei Upande Wowote Ila Nataka Usawa.
Mapenzi yakizidi Sana Unakua Kichaa.
 
Mkuu Nimetetea Au Nimetaka Usawa
Ivi Huyo Spika Si Ndiyo Yule Alimpiga Mwezie Bakora Adi Akazimia? Mkuu
Tunamengi Yakusema Ila Tupo Kama Samaki Midomo Imejaa Maji.
Tangu Uzaliwe Ulishawai Kusikia Kiongozi wa Upande wa Kwanza Amekosea na Kuwajibishwa?
Sipendelei Upande Wowote Ila Nataka Usawa.
Kwa akili yako Mdee yupo sahihi Kabisa?.

Bavicha mna laana
 
Hiyo kamati iangalie chanzo cha hayo matusi..ndugai ni spika mzuri sema huwa ana vijazba sana..wewe spika mzima unauliza kati ya Masha na wenje nani mwanamke halafu usiitwe fala..
Tena faradhuli kabisa, ali deserve
 
Sielewi hata spika kuwaagiza polisi Wamtafute mbunge popote alipo... nimeshangaa kwa kwel... hv hy si ndo alimpiga bakora mgombea mwenza mpaka akazimia... nani mwenye kosa kubwa hapa sasa wa kufuatwa na polisi..... yeye au halima... yaani ni nani FA.RA.... ndo double standard unazo sema mkuu....
Samahani mkuu hivi ukiibiwa unahalalishiwa kuiba?tuwe na hoja jamani tuache vioja.
 
Siku zote nasema (1) "Matusi hayana bei bali yana gharama" (2) "Hakuna mwenye monopoli na matusi " Kuna matusi ya moja kwa moja na kuna matusi ya kuburuza watu (ubabe) kana kwamba hawana akili.
 
Back
Top Bottom