Mfiaukweli
JF-Expert Member
- Aug 30, 2018
- 5,636
- 8,774
Wanasheria; hivi nchi yetu inaruhusu ndoa za mikataba kwa muda mfupi?
Nauliza hivi kwa kuwa cheti cha ndoa ni cha aina moja tu nchini - I stand to be corrected - (na ndoa inakuwa specified kama ya kiserikali, kidini au kimila).
Kwa mfano wana ndoa wakisema wanataka kufunga ndoa kwa mujibu wa dini ya Kikristo basi automatically ndoa hiyo itajulikana kuwa ni ya mume na mke mmoja.
Shida inakuja kwenye ndoa za Kiislamu, wenzetu wana aina ya ndoa za muda mfupi (mutaa'h nikah kwa Shia na Misyar kwa Sunni), ambapo ndoa inaweza ikawa ya hata saa moja kulingana mahitaji ya mume.
Je sheria ya ndoa inazitambua ndoa hizo za mkataba?
Nauliza hivi kwa kuwa cheti cha ndoa ni cha aina moja tu nchini - I stand to be corrected - (na ndoa inakuwa specified kama ya kiserikali, kidini au kimila).
Kwa mfano wana ndoa wakisema wanataka kufunga ndoa kwa mujibu wa dini ya Kikristo basi automatically ndoa hiyo itajulikana kuwa ni ya mume na mke mmoja.
Shida inakuja kwenye ndoa za Kiislamu, wenzetu wana aina ya ndoa za muda mfupi (mutaa'h nikah kwa Shia na Misyar kwa Sunni), ambapo ndoa inaweza ikawa ya hata saa moja kulingana mahitaji ya mume.
Je sheria ya ndoa inazitambua ndoa hizo za mkataba?