SubiraChee
Member
- May 22, 2021
- 24
- 15
Pesa inaingia mifukoni mwao na kujitajirisha kwa walio madarakani na wabunge magari ya kifahari yasio na tijaKwa jiografia ya nchi yetu yaani Bandari tu ilipaswa kutitajirisha achana na mambo mengine yote uliyotaja ,
Ila Kwa uzembe wetu tumeshindwa kuitumia na tunahangaika kujenga nyingine.