Tila-lila2
JF-Expert Member
- Oct 20, 2019
- 653
- 1,058
Nchi yangu haina furaha tena, Rais wangu akisimama ni kukemea na kufoka tu, hakuna tena furaha. Akianza kuhutubia popote nchi inazizima, hamna tena maneno ya furaha, ni uozo uozo tu hata ule wa kulazimisha. Kingu kawachoma wenzake na kakimbizwa ubalozini kuficha uozo.
Hamna hakika Rais hakujua kilichotokea. Yule wa magereza naye kafanya kosa gani? Au ni kuzibwa mdomo kama Kapilimba na Nchimbi?
Hivi hamna swaga za furaha kabisaaa - Rais akitokea tu kuongea kazi zinasimama mpaka amalize, akina Makonda, Doto na Mhuni Dkt. Kingwa hawana hata matumbo joto. Akina Mbowe haijulikani wana mkakati gani?
Eti juzi wamedokezwa Uchaguzi utakuwa wa haki na wengine wakakenua meno. Hivi watumishi mishahara ishatoka? Halafu walisafiri bila vibali vya Ikulu - pengine ingekuwa Jula Julai hivi ingesemwa zilikuwa njuru za kusaidia Limnyama Tawala Uchaguzini.
Membe naye mbona kimya sana. Au anaogopa madongo ya Musiba yaliyommaliza Kangi pamoja na dansi lake mbele ya Mkulu.
Hivi vipi Ngeleja aliomba msamaha kwa Kisukuma ama kwa Kiswahili? Halafu na Ndalichako atagombea Kigoma Mjini baada ya Diamond kukataa. Hivi Zito katangaza kuacha siasa ama bado?
Na Prof. Mkenda naye na Uchaga wake kadinda na amekomaa hadi Dk. Kingwa anadai katishiwa kuuwawa.
Halafu vipi scandal ya korosho inaweza ikakimbiza uchaguzi huu? Hapa karibu na Idukilo Mwadui napo inasemekana almasi zimeisha!
Mambo ni mengi muda ni mdogo kuelezea, ngoja nimezw maji kwanza - Nchi Yangu, Rais Wangu na Majuto yetu.
Hamna hakika Rais hakujua kilichotokea. Yule wa magereza naye kafanya kosa gani? Au ni kuzibwa mdomo kama Kapilimba na Nchimbi?
Hivi hamna swaga za furaha kabisaaa - Rais akitokea tu kuongea kazi zinasimama mpaka amalize, akina Makonda, Doto na Mhuni Dkt. Kingwa hawana hata matumbo joto. Akina Mbowe haijulikani wana mkakati gani?
Eti juzi wamedokezwa Uchaguzi utakuwa wa haki na wengine wakakenua meno. Hivi watumishi mishahara ishatoka? Halafu walisafiri bila vibali vya Ikulu - pengine ingekuwa Jula Julai hivi ingesemwa zilikuwa njuru za kusaidia Limnyama Tawala Uchaguzini.
Membe naye mbona kimya sana. Au anaogopa madongo ya Musiba yaliyommaliza Kangi pamoja na dansi lake mbele ya Mkulu.
Hivi vipi Ngeleja aliomba msamaha kwa Kisukuma ama kwa Kiswahili? Halafu na Ndalichako atagombea Kigoma Mjini baada ya Diamond kukataa. Hivi Zito katangaza kuacha siasa ama bado?
Na Prof. Mkenda naye na Uchaga wake kadinda na amekomaa hadi Dk. Kingwa anadai katishiwa kuuwawa.
Halafu vipi scandal ya korosho inaweza ikakimbiza uchaguzi huu? Hapa karibu na Idukilo Mwadui napo inasemekana almasi zimeisha!
Mambo ni mengi muda ni mdogo kuelezea, ngoja nimezw maji kwanza - Nchi Yangu, Rais Wangu na Majuto yetu.