Eddy Love
JF-Expert Member
- Jul 25, 2011
- 13,652
- 8,539
Mwaka jana nilibahatika kwenda nchini Kongo na nikaweza kujionea mengi sana ambayo hapa nchini kwetu Tanzania hakuna na mojawapo la jambo hilo ni suala la umeme.
Kule Kongo karibia nyumba zote nilizofikia hakuna mita za umeme kama nchini kwetu. Nikapata shauku ya kutaka kujua kwanini nyumba zina umeme lakini hazina mita ikabidi nimuulize mkongo man mmoja ndipo aliponambia huduma ya umeme kule Kongo ni bure ndio maana wanatumia majiko ya umeme, heater nk.
Sasa nikaanza kujiuliza serikali yao wanawezaje kufanya haya yote wakati nchi yao ina vita muda wote na kwanini kwetu kuna amani lakini umeme tunatumia wa kulipia. Je, hatuwezi fanya kama Kongo ?
Kule Kongo karibia nyumba zote nilizofikia hakuna mita za umeme kama nchini kwetu. Nikapata shauku ya kutaka kujua kwanini nyumba zina umeme lakini hazina mita ikabidi nimuulize mkongo man mmoja ndipo aliponambia huduma ya umeme kule Kongo ni bure ndio maana wanatumia majiko ya umeme, heater nk.
Sasa nikaanza kujiuliza serikali yao wanawezaje kufanya haya yote wakati nchi yao ina vita muda wote na kwanini kwetu kuna amani lakini umeme tunatumia wa kulipia. Je, hatuwezi fanya kama Kongo ?