germanium
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 749
- 1,041
wanasiasa waongo waongo sana.......usimwamini mwanasiasaMbona tuliambiwa gharama za umeme wa maji ni za juu sana tukipata gesi ndipo zitapungua au zile turbine za congo ni tofauti na tunazouziwa huku kwetu?