Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 17,057
- 18,406
Toothpick mnaagiza toka china halafu unawaza kutengeneza silaha za nuclear!Please Anko magu ukimaliza kukunua ndege tu nataka angalau moja
Toothpick mnaagiza toka china halafu unawaza kutengeneza silaha za nuclear!Please Anko magu ukimaliza kukunua ndege tu nataka angalau moja
Vijana wetu mara kadhaa wanakamatwa wakiwa na mabomu ya kienyeji, wakipata uranium wanaweza wakaunda vyombo zaidi ila ndiyo hivyo tena hatujazoea kubuni tumezoea kununua.Kutengeneza bomu moja ni gharama kubwa mno
India ni nchi yenye wanasayansi wengi ase usiwadharau wamewekeza kwenye sayansi na Teknilojia
Siyo tu Nucleur pia wana satellite na bado wanaunda satellite yao yenye uwezo mkubwa waweke angani..pongezi kwa aliyekuwa Rais na mwanasayansi wao Abdul Kalam ndiye aliyeifanya India iwe na Nucleur ..pia India hawakuwekewa vikwazo sabb ya mhasimu wake Pakistan anazo Nucleur sasa kila mmoja akiwa nazo heshima itakuwepo
Germany walikuwa wanadevelop Atomic bomb ,tatizo ni pale Hitler alipochukua uongozi akawa analeta Sera zake za kijinga ,wanasayansi wengi walikimbia na kwenda USA na uingereza ..Einstein na wenzake ndio waliofundua fission ktk tafiti zao za kutengeneza atomic lkn mwishoni USA ndio alifaidi sabb ya uchizi wa Hitler ,baada ya vita ya pili Germany walizuiliwa kutengeneza ..lkn Ujerumani saizi wanao uwezo wa kutengeneza lkn wamekubali kutotengeneza
.
Mistake alifanya Hitler
We..!mbona 'sisi' hatumo ina maana ikitokea vita hatuna uwezo wa kujibu mashambulizi.. hii ni hatari sana basi tuwe nako hata kamoja
Kutengeneza mabomu ya molotov km watanzania wanavyofanya si rahisi km kutengeneza atomic bom.Vijana wetu mara kadhaa wanakamatwa wakiwa na mabomu ya kienyeji, wakipata uranium wanaweza wakaunda vyombo zaidi ila ndiyo hivyo tena hatujazoea kubuni tumezoea kununua.
Tangu waliposhindwa Vita Kuu ya Pili ya Dunia Ujerumani na Japani hawaruhusiwi kuwa na silaha nzito kama za nuklia.Duhh German na kuwa super economy ulaya hana? Japan pia hana? Au hii list sio yote?
Asante mkuuIndia ni nchi yenye wanasayansi wengi ase usiwadharau wamewekeza kwenye sayansi na Teknilojia
Siyo tu Nucleur pia wana satellite na bado wanaunda satellite yao yenye uwezo mkubwa waweke angani..pongezi kwa aliyekuwa Rais na mwanasayansi wao Abdul Kalam ndiye aliyeifanya India iwe na Nucleur ..pia India hawakuwekewa vikwazo sabb ya mhasimu wake Pakistan anazo Nucleur sasa kila mmoja akiwa nazo heshima itakuwepo
Germany walikuwa wanadevelop Atomic bomb ,tatizo ni pale Hitler alipochukua uongozi akawa analeta Sera zake za kijinga ,wanasayansi wengi walikimbia na kwenda USA na uingereza ..Einstein na wenzake ndio waliofundua fission ktk tafiti zao za kutengeneza atomic lkn mwishoni USA ndio alifaidi sabb ya uchizi wa Hitler ,baada ya vita ya pili Germany walizuiliwa kutengeneza ..lkn Ujerumani saizi wanao uwezo wa kutengeneza lkn wamekubali kutotengeneza
.
Mistake alifanya Hitler
Vp khusu Italy?India ni nchi yenye wanasayansi wengi ase usiwadharau wamewekeza kwenye sayansi na Teknilojia
Siyo tu Nucleur pia wana satellite na bado wanaunda satellite yao yenye uwezo mkubwa waweke angani..pongezi kwa aliyekuwa Rais na mwanasayansi wao Abdul Kalam ndiye aliyeifanya India iwe na Nucleur ..pia India hawakuwekewa vikwazo sabb ya mhasimu wake Pakistan anazo Nucleur sasa kila mmoja akiwa nazo heshima itakuwepo
Germany walikuwa wanadevelop Atomic bomb ,tatizo ni pale Hitler alipochukua uongozi akawa analeta Sera zake za kijinga ,wanasayansi wengi walikimbia na kwenda USA na uingereza ..Einstein na wenzake ndio waliofundua fission ktk tafiti zao za kutengeneza atomic lkn mwishoni USA ndio alifaidi sabb ya uchizi wa Hitler ,baada ya vita ya pili Germany walizuiliwa kutengeneza ..lkn Ujerumani saizi wanao uwezo wa kutengeneza lkn wamekubali kutotengeneza
.
Mistake alifanya Hitler
Usiangalie mbwembwe je si wapo kwenye list?tena top 10 usidharauNorth Korea na mbwembwe zake wanamiliki silaha 8 za Nyukilia ? Source ya habari ni nini ? Halafu siri za majeshi yao si wanaficha ?
Tatizo la Watanzania ni hili....
Unapingaje habari bila ya kuwa na mbadala wa habari.....
Kwa wenye akili maana yake habari ya uongo inazimwa na hanari ya ukweli.....
Hata mcuba anayo nashangaa kwa nini hajaiweka hapoDuhh German na kuwa super economy ulaya hana? Japan pia hana? Au hii list sio yote?
Akamatwe wa nini ?..... yule anacheza mdakoHakuna kitu , mange kimambi wamemshindwa kumkamata
sikwamba hawaruhusiwi but walijikataza wenyew ili kusafisha image zao chafu..japan walishasema km wakihitaj nuclear basi itawachukua c zaid ya mwaka mmoja kutengeneza kwakuwa wanakila kitu kinachohitajika ikiwemo teknoljia........Tangu waliposhindwa Vita Kuu ya Pili ya Dunia Ujerumani na Japani hawaruhusiwi kuwa na silaha nzito kama za nuklia.
hao walio kwe list wote wnatengeneza wenyew...sasa ao cuba walitengeneza lin nuclear?? zile enz za cold war zilipelekwa na ussr nazo zilisharud kwao cku nyingiHata mcuba anayo nashangaa kwa nini hajaiweka hapo