Nchi tisa zinazomiliki silaha za nyuklia duniani pamoja na idadi

TZ ndio nchi yenye jeshi lenye siri kuliko nadhani zote barani. Wanakusubiri tu wewe unaechokonoa habari zake ili uzipeleke nje.
 
NCHI TISA ZINAZOMILIKI SILAHA ZA NYUKLIA DUNIANI PAMOJA NA IDADI

Na Thabit Karim Muqbell

Kufikia mwaka 1986 idadi ya silaha za Nyuklia zilifikia 70,300. USA na USSR pekee walikua wakimiliki zaidi ya silaha 68,000. idadi hii imepungua na kufikia 15,350 kwa mwaka 2016 huku zaidi ya 14,000 zikimilikiwa na Russia na USA.

Kupungua huko kumetokana na mikataba kadhaa ya kutokomeza silaha za Nyuklia km SALT 1 na SALT 2 pamoja na kuisha kwa Vita baridi miaka ya 1990. Kwa sasa Russia ndio anayeongoza huku North Korea ikiwa n nchi ya mwisho. Listi iko hivi

1. Russia (7500)
2. Unites States (7260)
3. France (300)
4. China (260)
5. United Kingdom (215)
6. Pakistan (120)
7. India (100)
8. Israel (80)
9. North Korea (8)
6852392419133ce34af856563defeef4.jpg
Kaka mbona nimejumlisha nimepata total tofauti? Ni 15,843
 
Habari za kusadikika hizi. Vinginevyo tuambiwe neno siri halipo tena na maana yake imebadilika na kuwa mambo yote hadharani.

Na washawasha!
 
India anayo na Ujerumani HAKUNA?


~Cmb
India ni nchi yenye wanasayansi wengi ase usiwadharau wamewekeza kwenye sayansi na Teknilojia


Siyo tu Nucleur pia wana satellite na bado wanaunda satellite yao yenye uwezo mkubwa waweke angani..pongezi kwa aliyekuwa Rais na mwanasayansi wao Abdul Kalam ndiye aliyeifanya India iwe na Nucleur ..pia India hawakuwekewa vikwazo sabb ya mhasimu wake Pakistan anazo Nucleur sasa kila mmoja akiwa nazo heshima itakuwepo

Germany walikuwa wanadevelop Atomic bomb ,tatizo ni pale Hitler alipochukua uongozi akawa analeta Sera zake za kijinga ,wanasayansi wengi walikimbia na kwenda USA na uingereza ..Einstein na wenzake ndio waliofundua fission ktk tafiti zao za kutengeneza atomic lkn mwishoni USA ndio alifaidi sabb ya uchizi wa Hitler ,baada ya vita ya pili Germany walizuiliwa kutengeneza ..lkn Ujerumani saizi wanao uwezo wa kutengeneza lkn wamekubali kutotengeneza
.

Mistake alifanya Hitler
 
Habari za kusadikika hizi. Vinginevyo tuambiwe neno siri halipo tena na maana yake imebadilika na kuwa mambo yote hadharani.

Na washawasha!

Tatizo la Watanzania ni hili....

Unapingaje habari bila ya kuwa na mbadala wa habari.....

Kwa wenye akili maana yake habari ya uongo inazimwa na hanari ya ukweli.....
 
mbona 'sisi' hatumo ina maana ikitokea vita hatuna uwezo wa kujibu mashambulizi.. hii ni hatari sana basi tuwe nako hata kamoja
Mkuu sisi hata ndege za F-35 ambayo moja ni kama Tsh.210 Billion hatuna...

Wala hatuna mpango wa kuwanazo..! Manake hata panga boy ni sheeda tuu
 
NPT Nuclear Weapon State (NWS)
1. CHINA - 260 warheads
2. FRANCE - 300 warheads
3. RUSSIA - 1760 warheads
4. UK - 120 warheads
5. USA - 1376 warhead

non-NPT Neuclear Weapon State..
1. INDIA 100-120 warheads
2. ISRAEL 80 - warheads
PAKISTAN - 110- 130 warheads.

Muhimu:
IRAN, ni member wa NPT na anamiliki nuclear kwa matumizi ya kawaida na si kwa matumizi ya kutengeneza silaha za maangamizi[/b].
 
Hizi taarifa kazitoa CIA fact book ambapo fact nyingi zimechakachuliwa. Unategemea mtu wa kawaida ajue military secrets za China au Russia au hats Tanzania ? No way.
Mkuu Tanzania huwa tunaorodhesha pale uwanja wa uhuru siku ya maadhimisho....
 
Back
Top Bottom