Asante mzee, nilitegemea mawazo yako yazigeuze hizo pumba kuwa na manufaa kwa jamii pana ya nchi hii.Umeandika pumber mkuu!
Hii migogoro imeachiwa wananchi kujichukulia maamuzi kwa mob psychology,Mkuu aliyetoa tathmini ni mfanyakazi ambaye anashughulika na shamba la Mtibwa, punguza dharau za watoto wa vyuo vikuu mwaka wa kwanza. Punguza sarcasm, haikuongezei heshima kwa watu wanaosoma maandishi yako.