Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,578
- 217,951
Nchi hizi kwa mujibu wa mkataba wa Muungano zinapaswa kuwa na haki sawa kwenye mgawanyo wa mambo yaliyoainishwa kwenye kinachoitwa "masuala yahusuyo Muungano' zikiwemo baadhi ya Wizara kuongozwa na Wazanzibar.
Tanganyika ina watu milioni 59.8 huku Jamhuri ya Watu wa Zanzibar ikiwa na watu milioni 1.8 , hesabu hii imebainika leo kwenye Matokeo ya Sensa na Makazi yaliyotangazwa na Rais Samia Suluhu.
TOA MAONI YAKO
Tanganyika ina watu milioni 59.8 huku Jamhuri ya Watu wa Zanzibar ikiwa na watu milioni 1.8 , hesabu hii imebainika leo kwenye Matokeo ya Sensa na Makazi yaliyotangazwa na Rais Samia Suluhu.
TOA MAONI YAKO