Wildlifer
JF-Expert Member
- May 12, 2021
- 1,883
- 5,187
Viongozi ni zao la jamii, siku ikifika Tanzania (Afrika kwa ujumla) ambayo tumenyukwa kiuchumi, kisiasa na kijamii wote [hata walio ndani ya Chama Tawala], ndio tutapata viongozi kama Kina Park.Nimeisoma. Tunarejea kwenye swali langu la awali. Viongozi kama Jenerali Park tunawapataje Afrika. Usisahau mataifa mengi ya Afrika yameongozwa na Majenerali . Baadhi yao wakajivika hata majoho ya kiraia hadi leo.