Liwagu
JF-Expert Member
- Jan 25, 2017
- 5,289
- 6,339
Hahaaa umenichekesha leo kwa mara ya kwanza since morning.Aaah wapi Tanzania tupo namba 6 msitutanie
Hahaaa umenichekesha leo kwa mara ya kwanza since morning.Aaah wapi Tanzania tupo namba 6 msitutanie
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza.
1. Ethiopia
2. Eritrea
3. Somalia
4. Rwanda.
5. Afrika kusini
6. Ivory coast
7. Nigeria
8. Kenya
9.Tanzania
10. Ghana.
Alituunganisha kinyemela bila sisi kujua.
Tatizo mnafanabisha urembo na makalioAaah wapi Tanzania tupo namba 6 msitutanie
Sasa huyu anaurembo gani. Tena unaweza kutana naye live ukadhani ni kibibi kizee
Mwambieni Jecha afanye yakeAha ha ha ha ..mnanichekesha jamani.. "tutakata rufaa"
Sakayo msipanic bhana..
We una uhakika hiyo siyo yangu???!Humu jamvini mlidaiwa kuweka kwenye avatar zenu picha za warembo wa mitandaoni, hamwoni kama ninyi ndiyo washiriki wakubwa wa kudharau urembo wenu!
Hakika mkiweka kwenye avatar zenu, kama siyo picha zenu, basi za warembo wa TZ mtakuwa mmeutangaza urembo wenu.
Apo umenena aseee kula tanoTena wajinga kabisa...Ivory Coast? Kenya? Nigeria??????? labda waseme wazuri kwa kujipodoa...hakuna wanawake fake kama wa hizo nchi tatu..and I have been to all...Aisee Wadada wa Kitanzania ni wazuri...ukitembea tembea ndo utaweza ku-appreciate hilo!
Aliyefanya hii research mwambieni hatutaki ujinga!!!! Kenya? Mzuri kwao ni Vera Sidika ambaye tunajua umbo lake kalipata wapi...sasa huku kwetu wa hivyo wako wengi balaa...natural no make up! aaargh tunaharibiana siku tu na hizi takwimu uchwara.
Natamani na kuridhika hakika kama ingekuwa ya kwako!We una uhakika hiyo siyo yangu???!
Kwakweli sio, utadhani nchi nzima ni wanaume tupuwakenya siyo.
Waarabu (Egy,Alg,Tun,Mor,Mart,Lib,Sud) wakiwepo watawafunika wengine bure !!!mbna nchi za waarabu hazipo
Nne au tano.Aaah wapi Tanzania tupo namba 6 msitutanie