kabisa warudie tafiti zao kabisa.Aaah wapi Tanzania tupo namba 6 msitutanie
Yani wakenya, eti wakenya wame..... Uongo aseekabisa warudie tafiti zao kabisa.
nilitaka kusema nikaogopa.Yani wakenya, eti wakenya wame..... Uongo asee
Aha ha ha ha ..mnanichekesha jamani.. "tutakata rufaa"Aaah wapi Tanzania tupo namba 6 msitutanie
Aisee watoto wa bongo ni warembo hatari! Kwangu bado sijaona wazuri alafu wanaojuwa mapendeko kama dada zetu aisee.Kama kichwa cha habari kinavyojieleza.
1. Ethiopia
2. Eritrea
3. Somalia
4. Rwanda.
5. Afrika kusini
6. Ivory coast
7. Nigeria
8. Kenya
9.Tanzania
10. Ghana.
Wakenya wanatuzidi riadha tu, huku kwingine hapana sisi sio watu wa mchezo mchezo, wasitutanienilitaka kusema nikaogopa.
take five mkuuu wamesema uongo kabisa
Namba moja hadi nne sawa wametuzidi ila kuanzia tano hapana asee, mi sikubaliAha ha ha ha ..mnanichekesha jamani.. "tutakata rufaa"
Sakayo msipanic bhana..
nnnh.. sina mbavu !!!Namba moja hadi nne sawa wametuzidi ila kuanzia tano hapana asee, mi sikubali
Toa Kenya hapo..Kama kichwa cha habari kinavyojieleza.
1. Ethiopia
2. Eritrea
3. Somalia
4. Rwanda.
5. Afrika kusini
6. Ivory coast
7. Nigeria
8. Kenya
9.Tanzania
10. Ghana.
Toa Kenya hapo..
U said it all sitak kuongeza chochoteWakenya wanatuzidi riadha tu, huku kwingine hapana sisi sio watu wa mchezo mchezo, wasitutanie