hata mimi
JF-Expert Member
- Oct 17, 2017
- 1,356
- 1,437
Nimependa jibu hili la kitaalamuMkuu wewemdiyo hujaelewa
Nimeweka wazi kwamba kigezo ninachotumia ni IDADI na siyo ASILIMIA sasa unapoongelea ratio au asilimia uelewe kwamba siongelei huko
Uwe unasoma utangulizi kwa makini mkuu mfano kuna mito yenye kina kirefu na mito mikubwa !!!