Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,538
Wapo watu wanaoamini hakuna ugonjwa uitwao Upungufu wa Kinga Mwilini(UKIMWI) hawa wamejikita kinadharia zaidi
Wapo pia wanaodai ugonjwa huu unatibika ila Wazungu hawataki kutengeneza dawa ya kuutokomeza kabisa ili tu kupunguza kizazi cha Waafrika....hii nayo ni nadharia tu
Zamani mtu akiwa na UKIMWI ilikuwa sio siri maana angeharisha,angekohoa kutwa nzima,angetoka mapele,angekuwa na ukurutu,angekpnda
Ila nowadays kuna dawa za kupunguza makali {ARV) kumjua mwenye ngoma au asiye nao ni ngumu.....watu wanaungwa kwenye grid ya Taifa bila kujijua
Sasa tuangalie nchi kumi zenye idadi kubwa ya watu wewanaoishi na VVU
......... ... .. ................................................. ...
NB
Kigezo siyo % bali idadi hivyo kinara wa VVU duniani kwa % ni Swaziland ila hayupo sababu nchi yao ni ndogo kwa idadi ya watu
.........................................................................
Kwa asilimia ya watu wazima wenye VVU mambo yapo hivi.
1/Swaziland 25%
2/Lesotho 24%
3Botswana 21%
4/Afrika Kusini 18%
5/Namibia 14%
6/Zimbabwe 13%
7/Zambia 12%
8/Msumbiji 11%
9/Malawi 9%
10/Uganda 8%
............................................................................
10/Russia
Ni Taifa kubwa duniani kiuchumi,kijeshi n.k
Ni nchi yenye idadi kubwa ya watu takribani Milioni 150...Ni miongoni mwa nchi kumi zenye watu wengi duniani na wanaongezeka tu kwa kasi
Nani kasema UKIMWI ni wa watu weusi tu ? Hata Wazungu wanaugua
<Warusi takribani 1,000,000 wana ngoma
Wapo pia wanaodai ugonjwa huu unatibika ila Wazungu hawataki kutengeneza dawa ya kuutokomeza kabisa ili tu kupunguza kizazi cha Waafrika....hii nayo ni nadharia tu
Zamani mtu akiwa na UKIMWI ilikuwa sio siri maana angeharisha,angekohoa kutwa nzima,angetoka mapele,angekuwa na ukurutu,angekpnda
Ila nowadays kuna dawa za kupunguza makali {ARV) kumjua mwenye ngoma au asiye nao ni ngumu.....watu wanaungwa kwenye grid ya Taifa bila kujijua
Sasa tuangalie nchi kumi zenye idadi kubwa ya watu wewanaoishi na VVU
......... ... .. ................................................. ...
NB
Kigezo siyo % bali idadi hivyo kinara wa VVU duniani kwa % ni Swaziland ila hayupo sababu nchi yao ni ndogo kwa idadi ya watu
.........................................................................
Kwa asilimia ya watu wazima wenye VVU mambo yapo hivi.
1/Swaziland 25%
2/Lesotho 24%
3Botswana 21%
4/Afrika Kusini 18%
5/Namibia 14%
6/Zimbabwe 13%
7/Zambia 12%
8/Msumbiji 11%
9/Malawi 9%
10/Uganda 8%
............................................................................
10/Russia
Ni Taifa kubwa duniani kiuchumi,kijeshi n.k
Ni nchi yenye idadi kubwa ya watu takribani Milioni 150...Ni miongoni mwa nchi kumi zenye watu wengi duniani na wanaongezeka tu kwa kasi
Nani kasema UKIMWI ni wa watu weusi tu ? Hata Wazungu wanaugua
<Warusi takribani 1,000,000 wana ngoma
Last edited: