masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 17,882
- 13,171
Kule Ujerumani kuna mama Angela Merkel, hata wanaume wanamuogopa.
Marekani anakuja mama Hillary Clinton.
Uingereza ndo anaingia mama Theresa May.
Hapa Kazi Tu, tujitayarishe na feminine diplomacy!
Marekani anakuja mama Hillary Clinton.
Uingereza ndo anaingia mama Theresa May.
Hapa Kazi Tu, tujitayarishe na feminine diplomacy!