kui
JF-Expert Member
- Mar 2, 2009
- 6,467
- 6,494
wenye chama chao wakiamua inakua rahisi tu mkuu
This's Great thinking. It can be just a matter of maamuzi, and they'll be In.
wenye chama chao wakiamua inakua rahisi tu mkuu
Anko Magu anapokuwa hayupo kwa namna yoyote ile, nani anakuwa Rais wako??kwahapa kwetu bado ningumu
Umezaliwa Lini Mkuu? wakati wa Mkapa au Kikwete?Kule Ujerumani kuna mama Angela Merkel, hata wanaume wanamuogopa.
Marekani anakuja mama Hillary Clinton.
Uingereza ndo anaingia mama Theresa May.
Hapa Kazi Tu, tujitayarishe na feminine diplomacy!
View attachment 365373View attachment 365374 View attachment 365375
sawa mkuuNa kulipwa analipwa na ulinzi anapewa na hata baadhi ya safari anaenda na nae
Kama wanafanana kwa sura..Kule Ujerumani kuna mama Angela Merkel, hata wanaume wanamuogopa.
Marekani anakuja mama Hillary Clinton.
Uingereza ndo anaingia mama Theresa May.
Hapa Kazi Tu, tujitayarishe na feminine diplomacy!
View attachment 365373View attachment 365374 View attachment 365375
Ptuuu mbaka!!Tanzania inakwenda kutawaliwa na mwanamke?
Super Power Countries....Umezaliwa Lini Mkuu? wakati wa Mkaa au Kikwete?
Unapozungumzia nchi kubwa ueleze aina ya ukubwa... Maana hata DRC ni Nchi Kubwa
Am not talkin to you Mkuu... najaribu kuweka sawa jamaa ili next time awe mtoa hoja mzuri... people are learning over hereSuper Power Countries....
Huitaji kuwa na akili za sayansi ya kurusha roketi kujua mtoa mada alikuwa anamaanisha nilichokiamaamisha mimi.....Am not talkin to you Mkuu... najaribu kuweka sawa jamaa ili next time awe mtoa hoja mzuri... people are learning over here
Hell no.. i don't really think america is ready for female prezo.The new face of leaders of the free World.
Waiting for Hillary and Theresa kukamilisha hili.
Kwani na hii ni nchi kubwa?kwahapa kwetu bado ningumu
Hayo mataifa yana umri gani tokea yamepata uhurukwahapa kwetu bado ningumu
Hell no.. i don't really think america is ready for female prezo.
We are still in the world of men's supremacy, just get used to that..
Mwanamke ni dhaifu tu,hata awe nani.Shetani anaweka watu wake ili awatumie kukamilisha mipango yake.shetani hamuwezi mwanaume directly, trust me.. This is bad sign.world is going over!
Huwa wanaitwa ma-first gentlemanSasa Clinton atakua firs husband?