Nchi isipotii amri ya viongozi wake kufika Mahakama ya Kimataifa ya ICC, huchukuliwa hatua gani kulazimisha?

Mbona unalia mkuu?
Mkuu,

Siwezi lia hicho unachokihitaji kinasutwa na utamaduni wa Mtanzania halisia labda wale 4G kutokana na utandawazi

Laiti ingekuwa unasemea kwa nchi nyinginezo hapo ungeeleweka vizuri tu bila tashwishwi.

Takwa hilo unalolitamani litokee ni kama kushika bunduki unajielekezea mtutu kwako sasa sijui kama umejitoa ufahamu pindi ikifyatuka kinyume na ulivyohitaji ielekee. Ni hilo tu mpiganaji
 
Mkuu,

Siwezi lia hicho unachokihitaji kinasutwa na utamaduni wa Mtanzania halisia labda wale 4G kutokana na utandawazi

Laiti ingekuwa unasemea kwa nchi nyinginezo hapo ungeeleweka vizuri tu bila tashwishwi.

Takwa hilo unalolitamani litokee ni kama kushika bunduki unajielekezea mtutu kwako sasa sijui kama umejitoa ufahamu pindi ikifyatuka kinyume na ulivyohitaji ielekee. Ni hilo tu mpiganaji
Tambua mkuu bila kupata usaidizi Jiwe hataachia madaraka mkuu, muda ni mwalimu mzuri
 
Naomba kujuzwa ni hatua zipi huchukuliwa na mahakama hii kuhakikisha watuhumiwa wanaotakiwa kufika mbele ya mahakama hii wanafika mahakamani.

Kwa mfano, Raisi wa nchi alieko madarakani anapotakiwa kufika katika hii mahakama na akagoma kwenda, ni utaratibu gani hufuata kuhakikisha anapanda kizimbani?

Je, nini nafasi ya International Criminal Police Organisation (interpol )katika kusaidia hii mahakama kutekeleza majukumu yake?

Mwenye majibu atusaidie.
Watatumwa wale wasiojulikana watashuka ubalozini mwao hapa nchini kumsaka mhalifu wao

Sent from my SM-J500F using JamiiForums mobile app
 
9 Reactions
Reply
Back
Top Bottom