Kalamu ya Mwananchi
Senior Member
- Oct 27, 2020
- 100
- 550
Uchaguzi umemalizika. Kuhusu kama uchaguzi ulikuwa ni wa uhuru na haki, wote majibu tunayo moyoni. It was not.
Cha muhimu ni kwamba upinzani umegain enough momentum kiasi kwamba umekuwa tishio hadi kuitikisa CCM na kuwafanya wawe desperate, ambapo hawakuwa na namna nyingine zaidi ya kufanya hujuma za hali ya juu na za wazi wazi ili kubaki madarakani.
Kilichofanywa na Magufuli kingefanywa na mwenyekiti yoyote yule wa CCM ili kuokoa chama chake. Kwahiyo tusidhani mambo yangekuwa tofauti kama raisi asingekuwa Magufuli bali mtu mwingine kutoka chama hicho hicho. Tanzania, de jure ni multiparty democracy lakini de facto ni a one party state, ndo madhara yake hayo.
Uchaguzi pia umewaonyesha wananchi na upinzani picha halisi ya chama/ serikali wanayopambana nayo.
Kwa ambao wanajidanganya kuwa mambo yatakuwa afadhali baada ya hapa, basi hawajajifunza kitu chochote kuhusu miaka mitano iliyopita. Mambo yanaenda kuwa mabaya zaidi.
Sheria zitatungwa ili kupunguza momentum waliyogain wapinzani, uhuru wakujieleza unaenda kuzikwa rasmi na kila aina ya sheria kandamizi zitapitishwa ili kutarget wale ambao wanataka 'kukwamisha maendeleo'.
Uchumi utazidi kuporomoka na maisha ya wananchi yatazidi kuwa magumu zaidi.
Tutegemee more white elephant projects ili watawala kufurahisha nafsi zao kwa kisingizio kuwa wanaleta maendeleo. Miradi ambayo haina manufaa yoyote kwa mwananchi wa kawaida.
CCM isifurahi ikadhani kuwa upinzani sasa umekufa rasmi kisa bunge linaenda kuwa la kijani tupu, na wabunge karibia wote wa upinzani wameondolewa. Watu wengi sana wamechukizwa na huu uchaguzi, sasa serikali ijiandae kupambana na upinzani ambao utakuwa ni invisible.
Ni muda sasa strategy ikaja ya kuzindua wananchi waliolala usingizi wa pono wakihisi siasa haziwahusu, mkazo unahitajika ili kuongeza awareness na mwamko wa watu. Ndo maana serikali inatunga sheria kila kukicha kuondoa uhuru wakujieleza, wa vyombo vya habari na uhuru wa kupata taarifa. Na inaivest kwenye kutengeneza distractions na 'ubuyu' wa kila aina ili kupunguza mwamko mwananchi.
Muda wa wananchi kuzinduliwa umewadia.
Only when enough people are enlightened will this country be liberated.
Vive la resistance!
Cha muhimu ni kwamba upinzani umegain enough momentum kiasi kwamba umekuwa tishio hadi kuitikisa CCM na kuwafanya wawe desperate, ambapo hawakuwa na namna nyingine zaidi ya kufanya hujuma za hali ya juu na za wazi wazi ili kubaki madarakani.
Kilichofanywa na Magufuli kingefanywa na mwenyekiti yoyote yule wa CCM ili kuokoa chama chake. Kwahiyo tusidhani mambo yangekuwa tofauti kama raisi asingekuwa Magufuli bali mtu mwingine kutoka chama hicho hicho. Tanzania, de jure ni multiparty democracy lakini de facto ni a one party state, ndo madhara yake hayo.
Uchaguzi pia umewaonyesha wananchi na upinzani picha halisi ya chama/ serikali wanayopambana nayo.
Kwa ambao wanajidanganya kuwa mambo yatakuwa afadhali baada ya hapa, basi hawajajifunza kitu chochote kuhusu miaka mitano iliyopita. Mambo yanaenda kuwa mabaya zaidi.
Sheria zitatungwa ili kupunguza momentum waliyogain wapinzani, uhuru wakujieleza unaenda kuzikwa rasmi na kila aina ya sheria kandamizi zitapitishwa ili kutarget wale ambao wanataka 'kukwamisha maendeleo'.
Uchumi utazidi kuporomoka na maisha ya wananchi yatazidi kuwa magumu zaidi.
Tutegemee more white elephant projects ili watawala kufurahisha nafsi zao kwa kisingizio kuwa wanaleta maendeleo. Miradi ambayo haina manufaa yoyote kwa mwananchi wa kawaida.
CCM isifurahi ikadhani kuwa upinzani sasa umekufa rasmi kisa bunge linaenda kuwa la kijani tupu, na wabunge karibia wote wa upinzani wameondolewa. Watu wengi sana wamechukizwa na huu uchaguzi, sasa serikali ijiandae kupambana na upinzani ambao utakuwa ni invisible.
Ni muda sasa strategy ikaja ya kuzindua wananchi waliolala usingizi wa pono wakihisi siasa haziwahusu, mkazo unahitajika ili kuongeza awareness na mwamko wa watu. Ndo maana serikali inatunga sheria kila kukicha kuondoa uhuru wakujieleza, wa vyombo vya habari na uhuru wa kupata taarifa. Na inaivest kwenye kutengeneza distractions na 'ubuyu' wa kila aina ili kupunguza mwamko mwananchi.
Muda wa wananchi kuzinduliwa umewadia.
Only when enough people are enlightened will this country be liberated.
Vive la resistance!