Safari hii nani atapelekwa msitu wa Pande?
mmh!!my be he want to officially declere before it kwamba yeye ni DHAIFU.:redface:Ktk hali isiyokuwa yakawaida Rais anakikao na baraza la usalama wa Taifa! Tusubiri majibu. Mungu ibarik Tz
Yawezekana hawakumwambia, hawa vihelehele wanajipendekeza sana hadi wanaharibu.
Hii imefanywa na vichwa bange huwezi ukawa na akili ukafanya unyama kama huu.
Hizi ni mbinu za kizamani sana zimepitwa na wakati kabisaaa!
Ktk hali isiyokuwa yakawaida Rais anakikao na baraza la usalama wa Taifa! Tusubiri majibu. Mungu ibarik Tz