Ktk hali isiyokuwa yakawaida Rais anakikao na baraza la usalama wa Taifa! Tusubiri majibu. Mungu ibarik Tz
Kuna Baraza la Usalama wa Taifa?[/QU
Mkuu nadhani alimaanisha Baraza la Usalama la Taifa
Mungu hawezi kubariki watu wajinga na dhaifu kama watz.
Rais dhaifu, na usalama Wa taifa dhaifu, serikali dhaifu, na chama tawala dhaifu tena mufilisi, chenye mawaziri dhaifu, spika dhaifu na kilaza Wa hali ya juu, na wabunge dhaifu na vilaza wa kutupwa.
Atawaambia madaktari waliokubali kuajiriwa na serikali kwa masharti na viwango vilivyopo vya mishahara ambao sasa hawaridhiki navyo waache kazi na kutafuta ajira mahali pengine ama wajikusanye kuanzisha hospitali zao binafsi, kwa amani na utulivu.Anataka kuwaambia nini?
Ni kweli Mkuu! Wajinga na waoga wote ziwa la Moto!Mungu hawezi kubariki watu wajinga na dhaifu kama watz.