Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
Kwa makadirio makusanyo kwa mwezi ni kati ya tril 1.3- 1.5 ikiwa na maana tu akusanya kati ya shilingi tril 15 hadi 18 kwa mwaka wa fedha 2019/20.
Na bajeti ya mwaka 2019/20 makadilio yake ni tril 32 ambazo kwa makusanyo yatu tuna gep kati ya tril 14- 17 ambazo tunazipata kwa mikopo na misaada.
Tunapo jimwambafy kuwa tunaweza je tunaweza kweli au kiburi cha madaraka.
Je Makonda/Magufuli na CCM ndio Tanzania? Kwann hawabadiriki kwanini hawasikii na wanaishi kwa kodi zetu