Hali ya nchi hii kwa sasa ni mbaya kuliko maelezo yoyote. Hali ya taasisi za umma ambazo bado zipo hai ni mbaya sans na hakuna matumaini ya mabadiliko katika mfumo uliopo sasa.
Taswira ya haraka inaonesha kushindwa kwa viongozi kuongoza nchi.
Hali hii isiponusuriwa ni hatari kwa mustakabali wa nchi hii
Taswira ya haraka inaonesha kushindwa kwa viongozi kuongoza nchi.
Hali hii isiponusuriwa ni hatari kwa mustakabali wa nchi hii