Nikukumbushe
JF-Expert Member
- Jun 4, 2013
- 2,602
- 408
Nasema rough paper kwa sababu kila mtu anataka kujifunzia mwandiko mzuri,kusovia hesabu nk. Hadi wenye tuhuma nao wamevuta fomu ya upresidaa ili aingie kwenye jengo jeupee kama sanda. Poleni sana watz kwa kuwa na umskini wa fikra.
Mmebebeshwa sanduku la matatizo ukiwemo umaskini,elimu mbovu,hospitali mbovu nk. Lakini bado mnawaita majembe.
Hii nchi imekuwa ya kufanyia mazoezi kama mchezo wa kombolela au mchezo wa mimi baba wewe mama. Hadi mwigulu nchemba anataka urais? Maajabu ya dunia.
Nauliza tu,hivi ule ushahidi wa mbinguni na duniani ulishia wapi vile? Waongo kama huyu sijui alikuwa anazngumzia mbingu ipi?
Huu ni utani. Hadi wapigwe tu anataka upresidaa,masalalee! Nchi hii bila shaka ina mganga wake wa kienyeji. Kweli? Masihara.
Wanasema rais bora atatoka CCM,ubora ktk nini rushwa ama ufisadi? Msaada tafadhali! Na ccm ipi,ccm maslahi,CCM imani,CCM vibaka au CCM mafisadi? Nauliza tu.
Orodha ya matatizo ndio sera? Ama kweli,wajinga ndio waliwao. Wenzetu wanatumia mafanikio waliyoyapata wakiwa madarakani,hawa wa kijani wanatmia matatizo kuombea kura,je,huoni kuwa wanalea matatizo ili wayatumie kuombea kura.
Kiumbe kimoja(jina limehifadhiwa) kimesema kitaondoa foleni Dar ndani ya miezi sita,hivi kweli watz tumekubaliana na kauli hii?
Nikisema sisi watz ni wapumbavu na wajinga nitakuwa nimekosea(ashakum si matusi)?
Amekuwa Mp na akaukwaa upm aliwahi kutoa hata ushauri wa kuondoa msongamano Dar?
Shetani aliko anafurahia uwendawazimu wa watz. Shetani anawapenda walio wake,wezi,mafisadi,wala rushwa nk.
Mmebebeshwa sanduku la matatizo ukiwemo umaskini,elimu mbovu,hospitali mbovu nk. Lakini bado mnawaita majembe.
Hii nchi imekuwa ya kufanyia mazoezi kama mchezo wa kombolela au mchezo wa mimi baba wewe mama. Hadi mwigulu nchemba anataka urais? Maajabu ya dunia.
Nauliza tu,hivi ule ushahidi wa mbinguni na duniani ulishia wapi vile? Waongo kama huyu sijui alikuwa anazngumzia mbingu ipi?
Huu ni utani. Hadi wapigwe tu anataka upresidaa,masalalee! Nchi hii bila shaka ina mganga wake wa kienyeji. Kweli? Masihara.
Wanasema rais bora atatoka CCM,ubora ktk nini rushwa ama ufisadi? Msaada tafadhali! Na ccm ipi,ccm maslahi,CCM imani,CCM vibaka au CCM mafisadi? Nauliza tu.
Orodha ya matatizo ndio sera? Ama kweli,wajinga ndio waliwao. Wenzetu wanatumia mafanikio waliyoyapata wakiwa madarakani,hawa wa kijani wanatmia matatizo kuombea kura,je,huoni kuwa wanalea matatizo ili wayatumie kuombea kura.
Kiumbe kimoja(jina limehifadhiwa) kimesema kitaondoa foleni Dar ndani ya miezi sita,hivi kweli watz tumekubaliana na kauli hii?
Nikisema sisi watz ni wapumbavu na wajinga nitakuwa nimekosea(ashakum si matusi)?
Amekuwa Mp na akaukwaa upm aliwahi kutoa hata ushauri wa kuondoa msongamano Dar?
Shetani aliko anafurahia uwendawazimu wa watz. Shetani anawapenda walio wake,wezi,mafisadi,wala rushwa nk.