Trubarg
JF-Expert Member
- Jan 8, 2020
- 4,216
- 6,806
Nchi hii wanaothaminika ni wamachinga pekee watembea kwa miguu na abiria hawana haki kabisa na inawezekana wamefutwa kabisa kwenye kamusi ya wanyonge.
Haiwezekani vituo vyote vya daladala na sehemu za watembea kwa miguu kuwa ndiyo sehemu ya kusimika biashara za hao wanaoitwa wanyonge.
Siku hizi abiria inabidi wasimame barabarani kusubiri daladala maana vituo vya abiria vyote vimegeuzwa maduka ya wamachinga.
Sehemu za wapita kwa miguu ndipo palipotandazwa biashara za watu.
Najiuliza kwanini nchi hii inapendelea hivyi.
Haiwezekani vituo vyote vya daladala na sehemu za watembea kwa miguu kuwa ndiyo sehemu ya kusimika biashara za hao wanaoitwa wanyonge.
Siku hizi abiria inabidi wasimame barabarani kusubiri daladala maana vituo vya abiria vyote vimegeuzwa maduka ya wamachinga.
Sehemu za wapita kwa miguu ndipo palipotandazwa biashara za watu.
Najiuliza kwanini nchi hii inapendelea hivyi.