Freyzem
JF-Expert Member
- Jun 29, 2013
- 10,052
- 24,442
- Thread starter
- #61
Pamoja na hayo, serikali ikubali kukosolewa! Inaongozwa na binadamu na siyo malaika, binadamu hawezi kufanya yote sawa kwa 100% na wapinzani au wasio na chama siyo maadui au wasaliti wa taifa! Wote wana nia moja ya kujenga taifa...Heshimu wenzako nawe utaheshimiwa, heshimu utawala uliopo madarakani nawe utaheshimiwa. Kuwa na lugha ya staha kama mzalendo wa Nchi nawe utaheshimiwa. Epuka lugha za kejeli na Matusi nawe utaheshimiwa. Vinginevyo kwa yeyote anaekwenda Kinyume na hayo na LAANA imkute