Hawa jamaa wamebaki kupiga vigelegele hata palipo na ukiukaj Wa sheriaUTUMISHI wa umma hauendani na uchaguzi, unaendana Na SHERIA, kanuni Na taratibu Za UTUMISHI wa umma
Kwa mujibu wa sheria ya uchaguzi anayeshinda ktk uchaguzi ndiye anayeunda serikali...Sawa, ila aliyeshinda ni nan? Sijauliza rais Wa Tz ni nan , aliyeshinda ni nan?
Wajumbe Wa tume wanateuliwa na nani?Kwa mujibu wa sheria ya uchaguzi anayeshinda ktk uchaguzi ndiye anayeunda serikali...
Na mshindi hutangazwa na tume ya taifa ya uchaguzi.
Huo mjadala mwingine, anzisha uzi mpya!!Wajumbe Wa tume wanateuliwa na nani?
Masuala ya uchaguzi nan kayaleta? Mbona Lumumba wepesi Wa kusahau?Huo mjadala mwingine, anzisha uzi mpya!!
Raisi wa JMTZ ndiye aliyeshinda Uchaguzi, kwa mujibu wa Katiba ya JMTZ, wasimamizi wa Kimataifa (AM,SADC,AU,EU,USA,Uchina ) ambayo imeelezea jinsi ambavyo raisi wa JMTZ anapatikana!
Masuala ya uchaguzi nan kayaleta? Mbona Lumumba wepesi Wa kusahau?
Kwani sio mtanzania?Ndugu wanajamvi?
Jana tuliona uteuzi wa makatibu tawala ambao umeendelea kuthibitisha kuwa nchi haijui inaelekea wapi. Uteuzi huu na hata unaofuata unaendelea kukatisha tamaa maana wateule wanatia mashaka,mfano mwanafunzi wa taasisi ya elimu ya watu wazima ambaye kwa sasa ni Mwenyekiti wa CCM tawi hilo kateuliwa kuwa katibu huko Liwale.Hii inaonesha wasiwasi mkubwa huko tuendako.
Form six nan , sendeka? Kibajaji? Joze Msukuma?Kwani sio mtanzania?
Mbona hushangai form6 failure,kuongoza maprofessor