cotyledon
JF-Expert Member
- Aug 25, 2018
- 2,240
- 1,584
Inakusaidia wewe maana ukienda hopitali hutibiwi na darasa la sabaHao 10% wameifanyia nini tz?
Hao 90% ndio wamewasomesha hao wenye degree wakitegemea watapata matokeo chanya.
Hao 10% ndio wapo kila kona kuanzia ngazi za maamzi mpaka kwenye mashirika ya umma ambayo kila siku ya tangaza hasara.
Tupe matokeo ya elimu yao imelisaidia nini taifa