Nchi hii hata watu wote wawe na Degree moja, haiwezi kuendelea

Hao 10% wameifanyia nini tz?
Hao 90% ndio wamewasomesha hao wenye degree wakitegemea watapata matokeo chanya.
Hao 10% ndio wapo kila kona kuanzia ngazi za maamzi mpaka kwenye mashirika ya umma ambayo kila siku ya tangaza hasara.
Tupe matokeo ya elimu yao imelisaidia nini taifa
Inakusaidia wewe maana ukienda hopitali hutibiwi na darasa la saba
 
Nimekuuliza swali Mkuu, wewe ndio unipe maana na majibu ya swali langu
Umeuliza swali gani? "Je kama CCM mi mradi?

Mkuu 'ROBERT', tusipotezeane muda. Nilidhani una kitu cha kujadili, lakini kumbe hakuna chochote.

Imenilazimu nikakusome tokea mwanzo hadi mwisho, sioni la kujadili humo, bali ni mkusanyiko wa mawazo yanayopingana yenyewe. Kwa hali hiyo, naomba nijitoe, sina stamina ya mijadala ya aina hii!
 
Hao 10% wameifanyia nini tz?
Hao 90% ndio wamewasomesha hao wenye degree wakitegemea watapata matokeo chanya.
Hao 10% ndio wapo kila kona kuanzia ngazi za maamzi mpaka kwenye mashirika ya umma ambayo kila siku ya tangaza hasara.
Tupe matokeo ya elimu yao imelisaidia nini taifa
Wakati unategemea matokeo chanya kwa mwenye degree umeweka rasilimali zipi ili upate tija ya hiyo degree
 
Wakati unategemea matokeo chanya kwa mwenye degree umeweka rasilimali zipi ili upate tija ya hiyo degree
Wewe unataka upewe rasilimali zipi ili tija ionekane?
Duniani kote wanajua elimu ndio rasilimali kubwa kuliko zote,
Degree yako inataka rasilimali gan zaidi?
Wewe mwenyewe unaprove degree yako ni upuuzi
 
Umeuliza swali gani? "Je kama CCM mi mradi?

Mkuu 'ROBERT', tusipotezeane muda. Nilidhani una kitu cha kujadili, lakini kumbe hakuna chochote.

Imenilazimu nikakusome tokea mwanzo hadi mwisho, sioni la kujadili humo, bali ni mkusanyiko wa mawazo yanayopingana yenyewe. Kwa hali hiyo, naomba nijitoe, sina stamina ya mijadala ya aina hii!


Chakujadili kipo Boss.

Unapoihusisha CCM na maendeleo ya nchi unamaana gani?

Mimi nimezungumzia ishu ya elimu hasa ya kiwango cha shahada kuwa impact yake ni ndogo kwenye maendeleo ya nchi kutokana na kuwa inaua akili za vijana badala ya kuzichipusha na kuzistawisha.

Hata CCM iondolewe leo madarakani alafu wanachama wote waende Vyama vingine, bado nchi hii itapiga mark time tuu pasipo kusonga popote.

Elimu ya kupiga iga,
Elimu ya kunukuu
Elimu ya kuua ubunifu
Elimu inayosimamiwa Kisiasa
Elimu inayofundisha kudharau kazi zingine,
Elimu inayounda mtazamo watu wapenda pesa kuliko kazi.
Elimu inayofundisha watu kudharau utamaduni wao🤣🤣🤣

Hiyo Elimu kamwe haiwezi msaidia mtu kulikomboa taifa lake
 
Sasa kama wasio na degree na ambao ni wengi wanamaendeleo yasiolezeka sasa mbona unasema nchi haiwezi kuendelea? Si tayari ishaendelea tayari kwa hisani ya wasio na degree?
Safi sana mkuu. Huyo mwenye degree analalamika kwasababu amekuwa na mzigo mkubwa wa wasiona degree
 
Elimu haina tatizo na napingana na yeyote asemae kuna shida katika elimu, shida iko katika UBONGO wa mtu mweusi...

Jiulize Ni watanzania wangapi wamesoma nje ya nchi ambako kwa maelezo yako kuna mfumo mzuri wa elimu alafu Impact yao katika nchi iko wapi?
 
Chakujadili kipo Boss.

Unapoihusisha CCM na maendeleo ya nchi unamaana gani?

Mimi nimezungumzia ishu ya elimu hasa ya kiwango cha shahada kuwa impact yake ni ndogo kwenye maendeleo ya nchi kutokana na kuwa inaua akili za vijana badala ya kuzichipusha na kuzistawisha.

Hata CCM iondolewe leo madarakani alafu wanachama wote waende Vyama vingine, bado nchi hii itapiga mark time tuu pasipo kusonga popote.

Elimu ya kupiga iga,
Elimu ya kunukuu
Elimu ya kuua ubunifu
Elimu inayosimamiwa Kisiasa
Elimu inayofundisha kudharau kazi zingine,
Elimu inayounda mtazamo watu wapenda pesa kuliko kazi.
Elimu inayofundisha watu kudharau utamaduni wao🤣🤣🤣

Hiyo Elimu kamwe haiwezi msaidia mtu kulikomboa taifa lake
Hii ni mada ya kichizi. Hainihusu.
 
Kwahiyo wastani wa kipato cha wenye degree ni ndogo kuliko wasio na degree
Hawa wenye degree ambao wanategea mshahara wao ulipwe kutokana
na kodi za hao wasio na degree ambao kila siku wanalalama waongezewe mishahara.
Una degree hujui hata kufanya argument,
Tunaongelea mchango wa elimu katika taifa sio katika mshahara wao wanaolipwa na hao wasio na degree.
 
Kwahiyo wastani wa kipato cha wenye degree ni ndogo kuliko wasio na degree

Nje ya Ajira wewe na degree yako mtaani unapigwa hata na mtoto ambaye shule hajawahi fika.

Wewe degree yako mpaka uajiriwe ndio usema inatija?

Zamani ndio watu walidanganywa na karanga za kuonjeshwa(Degree zenu) sasa hivi HAO wenye degree vipato vyao ni dhoofu ilhali kwani hawajaajiriwa.

JPM ndiye aliwaumbua na kuwavua nguo wasomi baada ya kusitisha Ajira.
Mwenye hizi degree pasipo Ajira ni Sawa na Simba asiye na kucha
 
Kwema Wakubwa!

Kwa tathmini zangu ninazoziamini kuliko kitu chochote kile. Nachelea kusema, nchi hii hata watu wote yaani wote milioni 60 tuwe na Degree moja moja na zaidi kamwe haiwezi kuendelea.

Kwa bahati nzuri Mimi ninayo hiyo degree hivyo ninachokiongea nakielewa vizuri Sana. Kama ningekuwa madarasa yangu ni madogo basi huenda ningeongea Jambo nisilo na Uelewa nalo.

Pengine naweza sema tena, nchi hii hata wote tungekuwa na PhD bado nchi hii isingeendelea.

Unajua Kwa sababu gani?

Sitaki kulijibu hili.
Lakini angalia wenye hizo degree mpaka maprofesa utaelewa nazungumzia Jambo gani.

Elimu tuipatayo ni Ile iliyopitwa na wakati,
Uliona wapi kitu kilichopitwa na wakati kikaendeleza nchi.

Elimu inayoua udadisi sio elimu,
Elimu inayofundisha ubinafsi sio elimu,
Elimu Inayomfanya mtu akariri badala ya kuelewa sio elimu,nilipokuwa nasoma degree nilikaririshwa mavitu ya watu wazamani mno ambayo Kwa akili ndogo tuu ningeweza kuayaeleza.

Embu assume ati uambiwe utoe maana ya istilahi "Lugha" au ueleze maana ya "mawingu" au ueleze Maana ya neno "udongo"
Mambo hayo ati mpaka umnukuu sijui Nani huko ambaye naye alitoa maana ya maneno hayo Kwa mtazamo wake.

Elimu za kidunia zinachekesha Sana. Yaani ukishindwa kuikariri maana hizo umefeli wakati huenda ukitoa maana yako ya kichwani ni Sawa kabisa na Ile Ile walioitoa HAO wahenga.

Elimu ya kunukuu watu waliopewa jina la utaalamu 🤣🤣🤣, elimu hii ndio inawafanya Vijana wasijiamini mpaka wapate mawazo ya watu wengine.

Unakuta liprofesa limepewa wizara serikalini, linatakiwa litoe maamuzi kuhusu Jambo Fulani ambalo kimsingi ni lawakawaida Sana. Yaani hata mtu ambaye shule hajaenda anaweza akalitathmini na kulitolea maamuzi. Lakini Kwa vile haiamini akili yake, utashangaa mpaka lifungue watu waitwao Wataalamu WA zamani huko, au aangalie nchi za Wazungu wamefanyaje.

Lini mtaweza kuzitumia akili zenu wenyewe enyi wasomi?"

Wasomi hawajiamini Kwa sababu wamefundishwa kutojiamini,

Kwa elimu hii tupewayo ukiwa na wasomi wengi basi jua fika kabisa taifa Lina idadi kubwa ya watu wasiojiamini, kwani shuleni ndivyo walivyofunzwa hivyo.

Kwa sasa hivi ni rahisi kumnyima haki msomi tena wa degree kuliko kumnyima mtu asiyesoma, mtu asiyesoma anatumia common sense yaani akili ya kuzaliwa tuu kujitetea na mazingira yake. Lakini wasomi wengi hawana hata hiyo common sense.

Msomi anasema Hana mtaji wa kuanzisha biashara lakini asiyesoma halalamiki hivyo,
Usoni imekaa mdomoni kuliko akilini huenda ndivyo walivyofunzwa.

Hata humu JF ati ili mtu aonekane Yuko na akili/ uwezo wake wakufikiri upo njema, utashangaa ati mtu akijifaraguza na kingereza ATI huo ndio usomi,🤣🤣🤣. Nacheka Kama MAZURI.

Msomi badala aumize kichwa kujua atatatua vipi changamoto ya Ajira iliyomo katika jamii yake yeye anakalia kulia Lia ati hakuna ajira. Pumbavu.

Degree nyingi zime-expire miaka mingi iliyopita.
Hazina tofauti na ngano au visasili vya Fasihi.
Labda iwe Kwa burudani tuu Kama Sanaa.

Elimu ambayo inamfundisha mtu Kumheshimu boss wake hata katika mambo ya Uhalifu uliona wapi elimu ya hivyo ikaendeleza nchi?

Elimu ambayo wasomi wanawategemea Wanasiasa 🤣🤣🤣 uliona wapi ikaendeleza nchi ndugu yangu?

Siku moja nikafanya utafiti huko kwenye vilinge Kwa waganga na waganguzi WA kienyeji, nikapata connection nyingi tuu nikikusudia kuchunguza mambo kadhaa.

Nikashangaa mpaka wenye degree wakienda Kwa waganga WA kienyeji🤣🤣🤣

Hivi degree hizi za kuamini waganga WA kienyeji ndio ziendeleze nchi hii, labda Kwenye ndoto.
Mtu na degree zake uketishwe Kwa waganga ati kujipatia Utajiri, sijui kupata kazi🤣🤣🤣 sijui kumfanya boss akuogope yaani vituko vitupu. Degree hiyo ndio iendeleze nchi hii. Thubutu!

Degree zilizofundishwa miujiza na maendeleo ya dezo, yaani maendeleo yanakuja kirahisi rahisi.
Nchi iendeleze na degree za wanaokimbizana kwenye maji ya upako Kwa hawa wajiitao manabii 🤣🤣🤣🤣.
Uende wakupe visakale vya wahenga wakiyahudi alafu ujifanye nawe utakuwa hivyo hivyo🤣🤣🤣.

Jamani tuache kudanganyana, hii nchi haitaendelea Kwa elimu hizi na Mchunguzi hata ipite miaka Buku.

Siku moja nilicheka kweli nimeona mtu aliyetengeneza Ndege ya kiwango cha chini Kabisa, walau yeye alitengeneza, nilipofuatilia elimu yake kumbe hata hajafika Kidato cha nne. Sasa wenye degree zao kuhojiwa wakaanza kunukuu sijui vifaa gani vya kitaalamu Kama walivyofundishwa huko vyuoni 😃😃😃.
Wewe na degree yako uprofesa wako umeshindwa kuunda hata baiskeli ya mabati ati unamkosoa mtu aliyeunda unda Ndege Kwa kuchanga vifaa mbalimbali sijui vya baiskeli, pikipiki au Gari.
Unamkosoa wakati wewe ukipewa walau Kama huyo wa aliyekimbia shule.

Nchi haitaendelezwa na wenye degree, wenye degree Hali zao nazijua, kwani Mimi ni mmoja wao.
Nje ya Ajira wengi wao ni Kama Masai bila some au rungu.

Aaargrrrrrrrhii!! Nilikuwa nataka kusema nini kwani?

Niishie hapa nasubiri povu la wenye degree.


Robert Heriel
TAIKON WA FASIHI
Kwa sasa Dar es salaam
Robert na. Ndiyo wale wanakimbiza moto nchi nzima Kwa Gharama kubwa huku wakishona mpaka sare za moto
 
Umeni
Hata wote wawe maprofesa haitasaidia.

Elimu ambayo inakufundisha kuwa na elimu ni kuwa na akili kuliko watu wote ni ujinga kuliko
ujinga wowote ule kwa sababu inakupa confidence ya kufanya ujinga bila kuhoji wala kuwa na mashaka juu ya
ujinga ujinga huo kisa makaratasi yaliandika hivo au utashi wako ukisadiwa na kitu unachokiita elimu kimekutuma kufanya hivo.

Mara mia tujue kujua kusoma na kuandika tu kuliko kupata degree zitakazo tupa confidence ya kufanya ujinga wowote
kwa kisingizio tumeelimika.

Jinsi unavokuwa na elimu kubwa au cheo kikubwa ndio jinsi unavokuwa na confidence ya kufanya ujinga mkubwa
eti tukijifariji elimu/cheo kita justify huo ujinga kuwa ni welevu
Kumbusha Yule Dingi wa Kyela anayesema hawezi kukosolewa na darasa la Saba kisa ana Degree nne,.
 
Back
Top Bottom