Nchi hii haina upinzani wa kweli

Wewe ndio umeanza kunipa somo sasa.


Wapi Pascla Mayala, maana yeye hupenda sana kuandika " hakuna upinzani wa kweli"
Upinzani wa kweli upo,utaendelea kuwepo.
1.CUF ya Maalim Seif alivyoweza kumdhibiti Commando Amour.kwa kumshinda bila kificho katika uchaguzi mkuu japo CCM ilinyakuwa madaraka kwa nguvu.
2.Mchungaji Mtikila alivyoiburuza serikali kwenye mahakama na kuishinda mara nyingi kwenye maswala ya katiba.
3.Profesa Mbilinyi alivyotema uwaziri wa fedha baada ya vyama vya upinzani kugunduwa na kuanika madudu katika vibali vya kuangiza mafuta ya kula.
4.Waziri Iddi Simba Alivyofukuzwa uwaziri wa Viwanda baada ya vyama vya upinzani kugundua kashfa katika uagizaji wa sukari.
5.EPA
6.ESCROW
Tuseme tu katika upinzani kuna misuguano kama huko CCM.
Jenerali Ulimwengu aliposema katika hatua ya kujenga demokrasia tumerudi nyuma miaka 50,wa kulaumiwa sio upinzani bali Magufuli anaezika upinzani bila aibu wala sababu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Upinzani uliopo uliasisiwa kwa huruma ya Mwalimu Nyerere na si kwamba kuna watu jasiri waliupigania.....ndio maana unaitwa Upinzani " Kanyaboya"
Hapa ndipo kosa lilipoanzia coz lazma tujue walioingia upinzani ni watu waliokulia ccm so ilipotokea kuanza vyama vingi n km waasisi waliambiwa wahamie upinzani waanzishe vyama vya upinzani. Kunamambo mengi sn yatakayothibitisha hilo moja wapo ni matokeo ya uraisi kutokupingwa mahamani. Hii huwa hainiingii akilini. Kilichotokea ht baada ya waasisi kupoteza uwezo wa kuviongoza vyama hivi wakavigawa hivi vyama kindugu, kikabila na kidini. Upinzani wa kweli bado sn
 
Sijui kama unajua hata maana ya upinzani?
Kwanza unatakiwa kujua wapinzani ni wananchi wenye mlengo tofauti na chama tawala na dola.
Usually wapinzani ni wananchi ambao kutoka katika chama tawala baadaya kujitambua.
Conclusion: Upinzani udhaifu maana yake ni wananchi dhaifu.
 
Upinzani wa kweli upo,utaendelea kuwepo.
1.CUF ya Maalim Seif alivyoweza kumdhibiti Commando Amour.kwa kumshinda bila kificho katika uchaguzi mkuu japo CCM ilinyakuwa madaraka kwa nguvu.
2.Mchungaji Mtikila alivyoiburuza serikali kwenye mahakama na kuishinda mara nyingi kwenye maswala ya katiba.
3.Profesa Mbilinyi alivyotema uwaziri wa fedha baada ya vyama vya upinzani kugunduwa na kuanika madudu katika vibali vya kuangiza mafuta ya kula.
4.Waziri Iddi Simba Alivyofukuzwa uwaziri wa Viwanda baada ya vyama vya upinzani kugundua kashfa katika uagizaji wa sukari.
5.EPA
6.ESCROW
Tuseme tu katika upinzani kuna misuguano kama huko CCM.
Jenerali Ulimwengu aliposema katika hatua ya kujenga demokrasia tumerudi nyuma miaka 50,wa kulaumiwa sio upinzani bali Magufuli anaezika upinzani bila aibu wala sababu.
Wewe unaamini maalimu Seif ni mpinzani?!!
 
Wewe unaamini maalimu Seif ni mpinzani?!!
Ni mpinzani wa uhakika,kitendo cha kumkamata, kumshtaki,kumfunga jela na baada ya pressure za wahisani kumuweka under house arrest ulifikiri ni utani?That's a reality its not Bongo movie.
 
Jamani Tuwe tunasoma kwanza kabla ya kuandika. Soma unielewe.
Sijui kama unajua hata maana ya upinzani?
Kwanza unatakiwa kujua wapinzani ni wananchi wenye mlengo tofauti na chama tawala na dola.
Usually wapinzani ni wananchi ambao kutoka katika chama tawala baadaya kujitambua.
Conclusion: Upinzani udhaifu maana yake ni wananchi dhaifu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Isingekuwa figisu, ukatili, manyanyaso na usumbufu wa vyombo vya dola, vyama vya upinzani vingefika mbali sana! 2015 kule Zenji Ccm walishaelekea kibra, kilichotokea wote tunajua! Pamoja na mapungufu (machache) ya vyama vya upinzani lakini serikali ina wakandamiza mno!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Upinzani wa kweli upo,utaendelea kuwepo.
1.CUF ya Maalim Seif alivyoweza kumdhibiti Commando Amour.kwa kumshinda bila kificho katika uchaguzi mkuu japo CCM ilinyakuwa madaraka kwa nguvu.
2.Mchungaji Mtikila alivyoiburuza serikali kwenye mahakama na kuishinda mara nyingi kwenye maswala ya katiba.
3.Profesa Mbilinyi alivyotema uwaziri wa fedha baada ya vyama vya upinzani kugunduwa na kuanika madudu katika vibali vya kuangiza mafuta ya kula.
4.Waziri Iddi Simba Alivyofukuzwa uwaziri wa Viwanda baada ya vyama vya upinzani kugundua kashfa katika uagizaji wa sukari.
5.EPA
6.ESCROW
Tuseme tu katika upinzani kuna misuguano kama huko CCM.
Jenerali Ulimwengu aliposema katika hatua ya kujenga demokrasia tumerudi nyuma miaka 50,wa kulaumiwa sio upinzani bali Magufuli anaezika upinzani bila aibu wala sababu.
Opposition will never die in any living human society. It is both a social and moral activity. There is Simba and Yanga. There is God and Satan. It is a pity to those who are undermining opposition efforts. Opposition will never die. Today and tomorrow.
 
Wa
Leo nimeamua tujadili hili swala.

Kuna watu , akiwemo Pasko Mayala wanapenda kusema , hapa kwetu hakuna upinzani wa kweli. Wapinzani hawana hoja kabisa.

Naomba kuuliza maswali yafuatayo ili nielewe vizuri.

1. Upinzani wa kweli ni upi? naomba features za upinzani wa kweli. Ikiwezekana toa mifano nchi zenye upinzani wa kweli na namna wanavyofanya siasa zao.

2. Wanasema upinzani hauna hoja za maana. Hoja za maana ni zipi? ,toa mifano kwenye maelezo yako.

3. wanaosema kuwa hapa kwetu hakuna upinzani wa kweli, kwa nini wao wasiwe wapinzani halafu waufanye huo upinzani wa kweli?

Karibuni kwa mjadala.



Sent using Jamii Forums mobile app
Watanzania tunawaachia mzigo wa upinzani watu wa kaskazini tungejiunga nao tungekuwa na nguvu mara moja utaona tembo yupo chini.
 
Opposition will never die in any living human society. It is both a social and moral activity. There is Simba and Yanga. There is God and Satan. It is a pity to those who are undermining opposition efforts. Opposition will never die. Today and tomorrow.
Asante kwa kujua na kuamini katika hili.
 
Mi nafikiri ni Watu wote hawajuhi kazi zao
1. Rais Magufuli sijuhi kama anajua nini maana ya urais kwakweli yaani yeye ni rais bali ndo anaongoza kwa kuvunja sheria,kugawa watu,
2.spika....ndo sipika hovyo kabisa
 
Ni mpinzani wa uhakika,kitendo cha kumkamata, kumshtaki,kumfunga jela na baada ya pressure za wahisani kumuweka under house arrest ulifikiri ni utani?That's a reality its not Bongo movie.
Hata waziri wa afya wa Zanzibar mh Hamad Rashid alifungwa jela hivyo hivyo..... siasa zina mambo mengi bwashee!
 
Ukitaka kujua upo au haupo, itisha maandamo ya kushinikiza waziri wa viwanda na biashara ajiuzulu,
Kwa kushindwa kusimamia suala la sukari hapa nchini.

Utasikia matamko kila kona siyo wakuu wa Mikoa,Wilaya na Jeshi la polisi likitoka na kila tamko.
 
Upinzani kwa maana ya opposition parties ni vyama mbadala ambavyo Kazi yao ni kukoskukosoa na, kuonyesha mapungufu ya chama kinachoongoza serikali

Vyama vya upinzani ili viwe na nguvu ya kukosoa na kuonesha mapungufu vinapaswa kuwa na watu mahili wenye uwezo wa kutengeneza dira na mikakati mbadala

Mpaka hapo tumeona kwamba chama cha upinzani kinapaswa kuwa na dira na mikakati ambayo itakiongoza chama hicho

Ni aibu kwa chama cha upinzani kukosa dira, kuishi kwa matukio nk, kwasababu siku matukio yakiisha, chama kitakufa.
 
Toa mfano wa hiyo dira.
Upinzani kwa maana ya opposition parties ni vyama mbadala ambavyo Kazi yao ni kukoskukosoa na, kuonyesha mapungufu ya chama kinachoongoza serikali

Vyama vya upinzani ili viwe na nguvu ya kukosoa na kuonesha mapungufu vinapaswa kuwa na watu mahili wenye uwezo wa kutengeneza dira na mikakati mbadala

Mpaka hapo tumeona kwamba chama cha upinzani kinapaswa kuwa na dira na mikakati ambayo itakiongoza chama hicho

Ni aibu kwa chama cha upinzani kukosa dira, kuishi kwa matukio nk, kwasababu siku matukio yakiisha, chama kitakufa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Thanks a lot brother for explaining the real meaning of opposition.
Opposition will never die in any living human society. It is both a social and moral activity. There is Simba and Yanga. There is God and Satan. It is a pity to those who are undermining opposition efforts. Opposition will never die. Today and tomorrow.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom